na ni kwanini kupotea kwa hiyo ndege kumetawaliwa kwa namba za kishetani satanic number ilipotea
tarehe
10/3/2014 ambayo ukijumlisha unapata 11 pia ni saA 2:36 ukijumlisha unapata 11
Kwa nini umejumlisha mkuu?
na ni kwanini kupotea kwa hiyo ndege kumetawaliwa kwa namba za kishetani satanic number ilipotea
tarehe
10/3/2014 ambayo ukijumlisha unapata 11 pia ni saA 2:36 ukijumlisha unapata 11
Imechukuliwa na alliens
na ni kwanini kupotea kwa hiyo ndege kumetawaliwa kwa namba za kishetani satanic number ilipotea
tarehe
10/3/2014 ambayo ukijumlisha unapata 11 pia ni saA 2:36 ukijumlisha unapata 11
Wanasema imetekwa hii itakua imeenda sayari nyingine
Mkuu badilisha hizo 35,000 feet kwenda kilometer maana wanasema mara ya mwisho ilikuwa kwenye hizo feet
Mkuu kweli kabisa, huu usafiri licha ni nadra sana kutokea ajali lakini kwangu bado unabaki Kuwa usafiri hatari sana.............Ninaamini kwamba unapoamua kupanda ndege kwenda kokote kule unakuwa tayari umejitoa muhanga kwa lolote linaloweza kutokea.... ukifikiri mara 2 unaweza kughairi kwamba inakuwaje nikae angani masaa 10 nafanya mambo yangu yote huko nakula nakunywa nalala... mara nyingine mnalazimishwa kulala mnagawiwa na mablanketi na taa zinapunguzwa mwanga ili mlale....:scared::deadhorse: :amen: :behindsofa:
Wamedai ilipopoteza mawasiliano ilikua bado inaendelea kupanda juu zaidi.nahisi jamaa atakupa katoboa sayari na kuelekea mars huko dunia ingine
1km = 4000ft. hivyo hapo kwenye 35000ft ni sawa na 8.8km
Kuna mtu kaniambia na watanzania walikuemo, sijui ni kweli?
na ni kwanini kupotea kwa hiyo ndege kumetawaliwa kwa namba za kishetani satanic number ilipotea
tarehe 10/3/2014 ambayo ukijumlisha unapata 11 pia ni saA 2:36 ukijumlisha unapata 11
Kwa nini umejumlisha mkuu?
wewe mwanga mshukuru tu mungu wako mwalimu mwakanyamale hayupo hapa. wewe ulikuwa ni mtu wa kupigwa tu rula kichwani. unapataje 11 unapojumlisha hizi tarakimu hapa 10/3/2014? au umetoka kwenye grosare?
Hivi hili linawezekana ee?