tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 21,859
- 18,282
Hii picha inaongea mambo mengi sana. Wazungu wanasema a picture speaks louder than words. Nikiiona hii picha nahudhunika mno, hasa kwa ajili ya vijana wa kitanzania wanaohitimu vyuoni makumi kwa maelfu kila mwaka.
Maisha ya kiafrika ni magumu sana. Unaweza ukute hata elimu yenyewe aliyoipata haiwezi kumpa uwezo wa kurudisha alichokitoa ama kubadilisha hayo maisha ya nyumbani kwao. Kibaya zaidi familia zetu pia zinaamini kuwa ukishapata degree basi wewe ndio tegemeo la ukoo , ndio maana vijana wengi huwa wanakimbia nyumbani.
Maisha ya kiafrika ni magumu sana. Unaweza ukute hata elimu yenyewe aliyoipata haiwezi kumpa uwezo wa kurudisha alichokitoa ama kubadilisha hayo maisha ya nyumbani kwao. Kibaya zaidi familia zetu pia zinaamini kuwa ukishapata degree basi wewe ndio tegemeo la ukoo , ndio maana vijana wengi huwa wanakimbia nyumbani.