Hii nchi ina shida nyingi sana, ajabu CHADEMA wanaaandama kisa sheria ya uchaguzi. Kwahiyo matatizo mengine hamyaoni?

Bilionaire kekeman

Senior Member
Nov 26, 2022
142
823
Mimi bwana sipendi sana kuandika mambo ya siasa hizi za Bongo siku hizi sio kwasababu sipendi ila sipendi tu kuandika kuhusu hizi siasa uchwara.

Ok ni hivi, acha niandike kwa ufupi kuhusu tamko la Mbowe (CHADEMA)

Nimefikira sana kuhusu kauli na kuendelea kujifunza kuhusu mambo mengi sana juu ya siasa uchwara zilizopo Tanzania kutoka upinzani na chama tawala.

Kwenye hili la CHADEMA juu ya kutangaza maandamano yatakayoanza rasimi tarehe 24 Jan 2024 Ili kupinga miswaada mitatu ya sheria ambayo itaanza kusikilizwa hivi punde huko bungeni, ambayo miswaada yenyewe itahusu maswala ya uchaguzi, sio kosa kuhusu hilo maana nalo ni swala la msingi lakini naomba uelewa zaidi kuwa je watanzania swala la uchaguzi ndio swala pekee muhimu zaidi Kuliko mengine?

Kinachoonekana hapa ni kuwa CHADEMA hili la uchaguzi limekua tatizo au kikwazo kwao kwasababu lina msrahi kwao ya nafasi za uongozi maana wao hapo ndio wanapo patia Pesa na ulaji.

Sijaona umuhimu sana wa CHADEMA kuhitaji kutumia nguvu kubwa ya maandamano kwajili ya kutetea hili la uchaguzi, maana yapo ya maana zaidi kwa watanzania na hawakutumia nguvu kama hii wanayotaka kuitumia sasa.

Ok ni hivi....

Yapo mambo mengi sana ambayo ni matatizo makubwa kama mafuta kupanda bei, Ulaghai kwenye pembejeo, Ukatikaji wa Umeme usio na tija, Vikokotoo kwa watumishi wasio wanasiasa, Sheria mpya ya Bima ya afya, Kuwaongezea Viinua mgogo wanasia wa ngazi za juu, Sheria mbovu za kodi, Ukosefu wa ajira, na Upigaji kwenye ripoti ya CAG.

Ajabu sasa mambo haya ambayo yanawaumiza Watanzani kila leo na kuwaingiza kwenye umasikini mkubwa na kuwaacha bila matumaini ya kesho yapo na yanafahamika na wanasiasa hawa wanao jiita watetezi wa haki za watanzania lakini awajaweza hata siku moja kutoka mbele na kuitisha maandamano makubwa nchi nzima.

Wapo kimya na ikijulikana kuwa hayo matatizo yapo na yakiwatesa watanzania wanasiasa hawa hawajawahi kutumia nguvu kubwa kama hili waliyotumia ya kuitisha maandamano kupinga haya na kupigani haya.

Isipokuwa wamekaa kimya kama hayapo. Je, swali ni kwanini?

Jibu ya hili ni kwasababu hayana masilahi ya moja kwa moja kwao, ila yale ya uchaguzi yana faida ya moja kwa moja kwao, kwasababu yanawagusa wao, kwa mantiki hiyo inaonesha kuwa wanasiasa wetu hawapo kwajili ya matatizo yetu bali macho yao yanangalia chaguzi na jinsi wao watakavyo weza kushinda viti hivyo au nafasi hizo ili wapate ulaji, Wanacho Linda na kupigani ni nafasi zao na matumbo yao na sio kero za watanzania.

Kwasababu huu ndio maana niliona siasa zetu ni upuuzi mtu, hakuna mwanasiasa wala kiongozi ndani ya CCM au nje ya CCM aliyepo kwajili ya Mtanzania.

NB: Jiepushe kutumika kwajili ya matumbo na manufaa ya watu wachache ambao wemejivisha koti la uzalendo ili hali ndani yao ni matapeli wa kisiasa.

Siasa safi anza kupigania uchumi wako mwenyewe, ukiwa safi kiuchumi huto tumika na hawa wanasiasa uchwara kwa masilahi yao binafsi.

Zingatia kuwa Siasa zetu bado zinatafunwa na matumbo yenye njaa, Ulafi, Unafi, Ujinga na Undumila kuwili.
 
Katika hilo nimewashangaa sana pia CHADEMA, umeme umekata wamekaa kimya kama hakuna kitu,
Sera ya kikokotoo wapo kimyaaaa, Bima ya Afya kwa wote hawajasema kitu.

Leo hii Tume huru ya uchaguzi ndo wanataka tuwapiganie, aiseee mm hapana, ila wakianzisha maandamano ya Bima ya afya, Umeme, Maji humo aisee mimi nimo mstari wa pili baada ya ule wa kina Mbowe.
 
Mimi bwana sipendi sana kuandika mambo ya siasa hizi za Bongo siku hizi sio kwasababu sipendi ila sipendi tu kuandika kuhusu hizi siasa uchwara.

Ok ni hivi, acha niandike kwa ufupi kuhusu tamko la Mbowe (CHADEMA)

Nimefikira sana kuhusu kauli na kuendelea kujifunza kuhusu mambo mengi sana juu ya siasa uchwara zilizopo Tanzania kutoka upinzani na chama tawala.

Kwenye hili la CHADEMA juu ya kutangaza maandamano yatakayoanza rasimi tarehe 24 Jan 2024 Ili kupinga miswaada mitatu ya sheria ambayo itaanza kusikilizwa hivi punde huko bungeni, ambayo miswaada yenyewe itahusu maswala ya uchaguzi, sio kosa kuhusu hilo maana nalo ni swala la msingi lakini naomba uelewa zaidi kuwa je watanzania swala la uchaguzi ndio swala pekee muhimu zaidi Kuliko mengine?

Kinachoonekana hapa ni kuwa CHADEMA hili la uchaguzi limekua tatizo au kikwazo kwao kwasababu lina msrahi kwao ya nafasi za uongozi maana wao hapo ndio wanapo patia Pesa na ulaji.

Sijaona umuhimu sana wa CHADEMA kuhitaji kutumia nguvu kubwa ya maandamano kwajili ya kutetea hili la uchaguzi, maana yapo ya maana zaidi kwa watanzania na hawakutumia nguvu kama hii wanayotaka kuitumia sasa.

Ok ni hivi....

Yapo mambo mengi sana ambayo ni matatizo makubwa kama mafuta kupanda bei, Ulaghai kwenye pembejeo, Ukatikaji wa Umeme usio na tija, Vikokotoo kwa watumishi wasio wanasiasa, Sheria mpya ya Bima ya afya, Kuwaongezea Viinua mgogo wanasia wa ngazi za juu, Sheria mbovu za kodi, Ukosefu wa ajira, na Upigaji kwenye ripoti ya CAG.

Ajabu sasa mambo haya ambayo yanawaumiza Watanzani kila leo na kuwaingiza kwenye umasikini mkubwa na kuwaacha bila matumaini ya kesho yapo na yanafahamika na wanasiasa hawa wanao jiita watetezi wa haki za watanzania lakini awajaweza hata siku moja kutoka mbele na kuitisha maandamano makubwa nchi nzima.

Wapo kimya na ikijulikana kuwa hayo matatizo yapo na yakiwatesa watanzania wanasiasa hawa hawajawahi kutumia nguvu kubwa kama hili waliyotumia ya kuitisha maandamano kupinga haya na kupigani haya.

Isipokuwa wamekaa kimya kama hayapo. Je, swali ni kwanini?

Jibu ya hili ni kwasababu hayana masilahi ya moja kwa moja kwao, ila yale ya uchaguzi yana faida ya moja kwa moja kwao, kwasababu yanawagusa wao, kwa mantiki hiyo inaonesha kuwa wanasiasa wetu hawapo kwajili ya matatizo yetu bali macho yao yanangalia chaguzi na jinsi wao watakavyo weza kushinda viti hivyo au nafasi hizo ili wapate ulaji, Wanacho Linda na kupigani ni nafasi zao na matumbo yao na sio kero za watanzania.

Kwasababu huu ndio maana niliona siasa zetu ni upuuzi mtu, hakuna mwanasiasa wala kiongozi ndani ya CCM au nje ya CCM aliyepo kwajili ya Mtanzania.

NB: Jiepushe kutumika kwajili ya matumbo na manufaa ya watu wachache ambao wemejivisha koti la uzalendo ili hali ndani yao ni matapeli wa kisiasa.

Siasa safi anza kupigania uchumi wako mwenyewe, ukiwa safi kiuchumi huto tumika na hawa wanasiasa uchwara kwa masilahi yao binafsi.

Zingatia kuwa Siasa zetu bado zinatafunwa na matumbo yenye njaa, Ulafi, Unafi, Ujinga na Undumila kuwili.
Una bahati mbaya sana Mungu alikunyima hekima. Hivyo basi utazeeka ukiwa mtu wa hivyo hivyo jinsi ulivyo. Wasagalasagala duhu
 
Mimi bwana sipendi sana kuandika mambo ya siasa hizi za Bongo siku hizi sio kwasababu sipendi ila sipendi tu kuandika kuhusu hizi siasa uchwara.

Ok ni hivi, acha niandike kwa ufupi kuhusu tamko la Mbowe (CHADEMA)

Nimefikira sana kuhusu kauli na kuendelea kujifunza kuhusu mambo mengi sana juu ya siasa uchwara zilizopo Tanzania kutoka upinzani na chama tawala.

Kwenye hili la CHADEMA juu ya kutangaza maandamano yatakayoanza rasimi tarehe 24 Jan 2024 Ili kupinga miswaada mitatu ya sheria ambayo itaanza kusikilizwa hivi punde huko bungeni, ambayo miswaada yenyewe itahusu maswala ya uchaguzi, sio kosa kuhusu hilo maana nalo ni swala la msingi lakini naomba uelewa zaidi kuwa je watanzania swala la uchaguzi ndio swala pekee muhimu zaidi Kuliko mengine?

Kinachoonekana hapa ni kuwa CHADEMA hili la uchaguzi limekua tatizo au kikwazo kwao kwasababu lina msrahi kwao ya nafasi za uongozi maana wao hapo ndio wanapo patia Pesa na ulaji.

Sijaona umuhimu sana wa CHADEMA kuhitaji kutumia nguvu kubwa ya maandamano kwajili ya kutetea hili la uchaguzi, maana yapo ya maana zaidi kwa watanzania na hawakutumia nguvu kama hii wanayotaka kuitumia sasa.

Ok ni hivi....

Yapo mambo mengi sana ambayo ni matatizo makubwa kama mafuta kupanda bei, Ulaghai kwenye pembejeo, Ukatikaji wa Umeme usio na tija, Vikokotoo kwa watumishi wasio wanasiasa, Sheria mpya ya Bima ya afya, Kuwaongezea Viinua mgogo wanasia wa ngazi za juu, Sheria mbovu za kodi, Ukosefu wa ajira, na Upigaji kwenye ripoti ya CAG.

Ajabu sasa mambo haya ambayo yanawaumiza Watanzani kila leo na kuwaingiza kwenye umasikini mkubwa na kuwaacha bila matumaini ya kesho yapo na yanafahamika na wanasiasa hawa wanao jiita watetezi wa haki za watanzania lakini awajaweza hata siku moja kutoka mbele na kuitisha maandamano makubwa nchi nzima.

Wapo kimya na ikijulikana kuwa hayo matatizo yapo na yakiwatesa watanzania wanasiasa hawa hawajawahi kutumia nguvu kubwa kama hili waliyotumia ya kuitisha maandamano kupinga haya na kupigani haya.

Isipokuwa wamekaa kimya kama hayapo. Je, swali ni kwanini?

Jibu ya hili ni kwasababu hayana masilahi ya moja kwa moja kwao, ila yale ya uchaguzi yana faida ya moja kwa moja kwao, kwasababu yanawagusa wao, kwa mantiki hiyo inaonesha kuwa wanasiasa wetu hawapo kwajili ya matatizo yetu bali macho yao yanangalia chaguzi na jinsi wao watakavyo weza kushinda viti hivyo au nafasi hizo ili wapate ulaji, Wanacho Linda na kupigani ni nafasi zao na matumbo yao na sio kero za watanzania.

Kwasababu huu ndio maana niliona siasa zetu ni upuuzi mtu, hakuna mwanasiasa wala kiongozi ndani ya CCM au nje ya CCM aliyepo kwajili ya Mtanzania.

NB: Jiepushe kutumika kwajili ya matumbo na manufaa ya watu wachache ambao wemejivisha koti la uzalendo ili hali ndani yao ni matapeli wa kisiasa.

Siasa safi anza kupigania uchumi wako mwenyewe, ukiwa safi kiuchumi huto tumika na hawa wanasiasa uchwara kwa masilahi yao binafsi.

Zingatia kuwa Siasa zetu bado zinatafunwa na matumbo yenye njaa, Ulafi, Unafi, Ujinga na Undumila kuwili.
Wao wamechagua waliloona linafaa kuanzisha maandamano.Hayo uliyoyaorodhesha ni vema ukayatafutia ufumbuzi wewe kama wewe.Au unataka yote wakufanyie akina Mbowe?
 
Mimi bwana sipendi sana kuandika mambo ya siasa hizi za Bongo siku hizi sio kwasababu sipendi ila sipendi tu kuandika kuhusu hizi siasa uchwara.

Ok ni hivi, acha niandike kwa ufupi kuhusu tamko la Mbowe (CHADEMA)

Nimefikira sana kuhusu kauli na kuendelea kujifunza kuhusu mambo mengi sana juu ya siasa uchwara zilizopo Tanzania kutoka upinzani na chama tawala.

Kwenye hili la CHADEMA juu ya kutangaza maandamano yatakayoanza rasimi tarehe 24 Jan 2024 Ili kupinga miswaada mitatu ya sheria ambayo itaanza kusikilizwa hivi punde huko bungeni, ambayo miswaada yenyewe itahusu maswala ya uchaguzi, sio kosa kuhusu hilo maana nalo ni swala la msingi lakini naomba uelewa zaidi kuwa je watanzania swala la uchaguzi ndio swala pekee muhimu zaidi Kuliko mengine?

Kinachoonekana hapa ni kuwa CHADEMA hili la uchaguzi limekua tatizo au kikwazo kwao kwasababu lina msrahi kwao ya nafasi za uongozi maana wao hapo ndio wanapo patia Pesa na ulaji.

Sijaona umuhimu sana wa CHADEMA kuhitaji kutumia nguvu kubwa ya maandamano kwajili ya kutetea hili la uchaguzi, maana yapo ya maana zaidi kwa watanzania na hawakutumia nguvu kama hii wanayotaka kuitumia sasa.

Ok ni hivi....

Yapo mambo mengi sana ambayo ni matatizo makubwa kama mafuta kupanda bei, Ulaghai kwenye pembejeo, Ukatikaji wa Umeme usio na tija, Vikokotoo kwa watumishi wasio wanasiasa, Sheria mpya ya Bima ya afya, Kuwaongezea Viinua mgogo wanasia wa ngazi za juu, Sheria mbovu za kodi, Ukosefu wa ajira, na Upigaji kwenye ripoti ya CAG.

Ajabu sasa mambo haya ambayo yanawaumiza Watanzani kila leo na kuwaingiza kwenye umasikini mkubwa na kuwaacha bila matumaini ya kesho yapo na yanafahamika na wanasiasa hawa wanao jiita watetezi wa haki za watanzania lakini awajaweza hata siku moja kutoka mbele na kuitisha maandamano makubwa nchi nzima.

Wapo kimya na ikijulikana kuwa hayo matatizo yapo na yakiwatesa watanzania wanasiasa hawa hawajawahi kutumia nguvu kubwa kama hili waliyotumia ya kuitisha maandamano kupinga haya na kupigani haya.

Isipokuwa wamekaa kimya kama hayapo. Je, swali ni kwanini?

Jibu ya hili ni kwasababu hayana masilahi ya moja kwa moja kwao, ila yale ya uchaguzi yana faida ya moja kwa moja kwao, kwasababu yanawagusa wao, kwa mantiki hiyo inaonesha kuwa wanasiasa wetu hawapo kwajili ya matatizo yetu bali macho yao yanangalia chaguzi na jinsi wao watakavyo weza kushinda viti hivyo au nafasi hizo ili wapate ulaji, Wanacho Linda na kupigani ni nafasi zao na matumbo yao na sio kero za watanzania.

Kwasababu huu ndio maana niliona siasa zetu ni upuuzi mtu, hakuna mwanasiasa wala kiongozi ndani ya CCM au nje ya CCM aliyepo kwajili ya Mtanzania.

NB: Jiepushe kutumika kwajili ya matumbo na manufaa ya watu wachache ambao wemejivisha koti la uzalendo ili hali ndani yao ni matapeli wa kisiasa.

Siasa safi anza kupigania uchumi wako mwenyewe, ukiwa safi kiuchumi huto tumika na hawa wanasiasa uchwara kwa masilahi yao binafsi.

Zingatia kuwa Siasa zetu bado zinatafunwa na matumbo yenye njaa, Ulafi, Unafi, Ujinga na Undumila kuwili.
Think outside the box! Matatizo yoooooote uliyoorodhesha chanzo chake ni nini? Chanzo chake ni uongozi mbovu, wenye ufisadi, usiotaka kushaurika, wenye ubinafsi etc... Nini kifanyike? Bila shaka bila kuondoa huo uongozi mbovu hakutakuwa na suluhu. Wanachofanya Chadema ni ku-attack mzizi wa tatizo kwa kutaka uchaguzi uwe huru na haki ili viongozi wabovu waondoke! Mkifungiwa kwenye box mnakaa huko huko kama kuku!
 
Katika hilo nimewashangaa sana pia CHADEMA, umeme umekata wamekaa kimya kama hakuna kitu,
Sera ya kikokotoo wapo kimyaaaa,
Bima ya Afya kwa wote hawajasema kitu,

Leo hii Tume huru ya uchaguzi ndo wanataka tuwapiganie, aiseee mm hapana, ila wakianzisha maandamano ya Bima ya afya, Umeme, Maji humo aisee mimi nimo mstari wa pili baada ya ule wa kina Mbowe,
Watu hovyo kama ninyi ndiyo CCM inawategemea? Kama huwezi kuona matatizo uliyoorodhesha chanzo ni uongozi mbovu basi wewe huna tofauti na kondoo
 
Mimi bwana sipendi sana kuandika mambo ya siasa hizi za Bongo siku hizi sio kwasababu sipendi ila sipendi tu kuandika kuhusu hizi siasa uchwara.

Ok ni hivi, acha niandike kwa ufupi kuhusu tamko la Mbowe (CHADEMA)

Nimefikira sana kuhusu kauli na kuendelea kujifunza kuhusu mambo mengi sana juu ya siasa uchwara zilizopo Tanzania kutoka upinzani na chama tawala.

Kwenye hili la CHADEMA juu ya kutangaza maandamano yatakayoanza rasimi tarehe 24 Jan 2024 Ili kupinga miswaada mitatu ya sheria ambayo itaanza kusikilizwa hivi punde huko bungeni, ambayo miswaada yenyewe itahusu maswala ya uchaguzi, sio kosa kuhusu hilo maana nalo ni swala la msingi lakini naomba uelewa zaidi kuwa je watanzania swala la uchaguzi ndio swala pekee muhimu zaidi Kuliko mengine?

Kinachoonekana hapa ni kuwa CHADEMA hili la uchaguzi limekua tatizo au kikwazo kwao kwasababu lina msrahi kwao ya nafasi za uongozi maana wao hapo ndio wanapo patia Pesa na ulaji.

Sijaona umuhimu sana wa CHADEMA kuhitaji kutumia nguvu kubwa ya maandamano kwajili ya kutetea hili la uchaguzi, maana yapo ya maana zaidi kwa watanzania na hawakutumia nguvu kama hii wanayotaka kuitumia sasa.

Ok ni hivi....

Yapo mambo mengi sana ambayo ni matatizo makubwa kama mafuta kupanda bei, Ulaghai kwenye pembejeo, Ukatikaji wa Umeme usio na tija, Vikokotoo kwa watumishi wasio wanasiasa, Sheria mpya ya Bima ya afya, Kuwaongezea Viinua mgogo wanasia wa ngazi za juu, Sheria mbovu za kodi, Ukosefu wa ajira, na Upigaji kwenye ripoti ya CAG.

Ajabu sasa mambo haya ambayo yanawaumiza Watanzani kila leo na kuwaingiza kwenye umasikini mkubwa na kuwaacha bila matumaini ya kesho yapo na yanafahamika na wanasiasa hawa wanao jiita watetezi wa haki za watanzania lakini awajaweza hata siku moja kutoka mbele na kuitisha maandamano makubwa nchi nzima.

Wapo kimya na ikijulikana kuwa hayo matatizo yapo na yakiwatesa watanzania wanasiasa hawa hawajawahi kutumia nguvu kubwa kama hili waliyotumia ya kuitisha maandamano kupinga haya na kupigani haya.

Isipokuwa wamekaa kimya kama hayapo. Je, swali ni kwanini?

Jibu ya hili ni kwasababu hayana masilahi ya moja kwa moja kwao, ila yale ya uchaguzi yana faida ya moja kwa moja kwao, kwasababu yanawagusa wao, kwa mantiki hiyo inaonesha kuwa wanasiasa wetu hawapo kwajili ya matatizo yetu bali macho yao yanangalia chaguzi na jinsi wao watakavyo weza kushinda viti hivyo au nafasi hizo ili wapate ulaji, Wanacho Linda na kupigani ni nafasi zao na matumbo yao na sio kero za watanzania.

Kwasababu huu ndio maana niliona siasa zetu ni upuuzi mtu, hakuna mwanasiasa wala kiongozi ndani ya CCM au nje ya CCM aliyepo kwajili ya Mtanzania.

NB: Jiepushe kutumika kwajili ya matumbo na manufaa ya watu wachache ambao wemejivisha koti la uzalendo ili hali ndani yao ni matapeli wa kisiasa.

Siasa safi anza kupigania uchumi wako mwenyewe, ukiwa safi kiuchumi huto tumika na hawa wanasiasa uchwara kwa masilahi yao binafsi.

Zingatia kuwa Siasa zetu bado zinatafunwa na matumbo yenye njaa, Ulafi, Unafi, Ujinga na Undumila kuwili.
Wewe kwa nini usiandamane kuhusu hayo mengine unayofikiri ni ya umuhimu sana??
 
Katika hilo nimewashangaa sana pia CHADEMA, umeme umekata wamekaa kimya kama hakuna kitu,
Sera ya kikokotoo wapo kimyaaaa,
Bima ya Afya kwa wote hawajasema kitu,

Leo hii Tume huru ya uchaguzi ndo wanataka tuwapiganie, aiseee mm hapana, ila wakianzisha maandamano ya Bima ya afya, Umeme, Maji humo aisee mimi nimo mstari wa pili baada ya ule wa kina Mbowe,
Labda hayo mengine wamekuachia wewe na ACT Wazalendo
 
Mimi bwana sipendi sana kuandika mambo ya siasa hizi za Bongo siku hizi sio kwasababu sipendi ila sipendi tu kuandika kuhusu hizi siasa uchwara.

Ok ni hivi, acha niandike kwa ufupi kuhusu tamko la Mbowe (CHADEMA)

Nimefikira sana kuhusu kauli na kuendelea kujifunza kuhusu mambo mengi sana juu ya siasa uchwara zilizopo Tanzania kutoka upinzani na chama tawala.

Kwenye hili la CHADEMA juu ya kutangaza maandamano yatakayoanza rasimi tarehe 24 Jan 2024 Ili kupinga miswaada mitatu ya sheria ambayo itaanza kusikilizwa hivi punde huko bungeni, ambayo miswaada yenyewe itahusu maswala ya uchaguzi, sio kosa kuhusu hilo maana nalo ni swala la msingi lakini naomba uelewa zaidi kuwa je watanzania swala la uchaguzi ndio swala pekee muhimu zaidi Kuliko mengine?

Kinachoonekana hapa ni kuwa CHADEMA hili la uchaguzi limekua tatizo au kikwazo kwao kwasababu lina msrahi kwao ya nafasi za uongozi maana wao hapo ndio wanapo patia Pesa na ulaji.

Sijaona umuhimu sana wa CHADEMA kuhitaji kutumia nguvu kubwa ya maandamano kwajili ya kutetea hili la uchaguzi, maana yapo ya maana zaidi kwa watanzania na hawakutumia nguvu kama hii wanayotaka kuitumia sasa.

Ok ni hivi....

Yapo mambo mengi sana ambayo ni matatizo makubwa kama mafuta kupanda bei, Ulaghai kwenye pembejeo, Ukatikaji wa Umeme usio na tija, Vikokotoo kwa watumishi wasio wanasiasa, Sheria mpya ya Bima ya afya, Kuwaongezea Viinua mgogo wanasia wa ngazi za juu, Sheria mbovu za kodi, Ukosefu wa ajira, na Upigaji kwenye ripoti ya CAG.

Ajabu sasa mambo haya ambayo yanawaumiza Watanzani kila leo na kuwaingiza kwenye umasikini mkubwa na kuwaacha bila matumaini ya kesho yapo na yanafahamika na wanasiasa hawa wanao jiita watetezi wa haki za watanzania lakini awajaweza hata siku moja kutoka mbele na kuitisha maandamano makubwa nchi nzima.

Wapo kimya na ikijulikana kuwa hayo matatizo yapo na yakiwatesa watanzania wanasiasa hawa hawajawahi kutumia nguvu kubwa kama hili waliyotumia ya kuitisha maandamano kupinga haya na kupigani haya.

Isipokuwa wamekaa kimya kama hayapo. Je, swali ni kwanini?

Jibu ya hili ni kwasababu hayana masilahi ya moja kwa moja kwao, ila yale ya uchaguzi yana faida ya moja kwa moja kwao, kwasababu yanawagusa wao, kwa mantiki hiyo inaonesha kuwa wanasiasa wetu hawapo kwajili ya matatizo yetu bali macho yao yanangalia chaguzi na jinsi wao watakavyo weza kushinda viti hivyo au nafasi hizo ili wapate ulaji, Wanacho Linda na kupigani ni nafasi zao na matumbo yao na sio kero za watanzania.

Kwasababu huu ndio maana niliona siasa zetu ni upuuzi mtu, hakuna mwanasiasa wala kiongozi ndani ya CCM au nje ya CCM aliyepo kwajili ya Mtanzania.

NB: Jiepushe kutumika kwajili ya matumbo na manufaa ya watu wachache ambao wemejivisha koti la uzalendo ili hali ndani yao ni matapeli wa kisiasa.

Siasa safi anza kupigania uchumi wako mwenyewe, ukiwa safi kiuchumi huto tumika na hawa wanasiasa uchwara kwa masilahi yao binafsi.

Zingatia kuwa Siasa zetu bado zinatafunwa na matumbo yenye njaa, Ulafi, Unafi, Ujinga na Undumila kuwili.
Jamii ni pana na kubwa hivyo lazima pawe na mgawanyo wa majukumu. Hayo mengine unaweza ukayafanya wewe.
 
Mimi bwana sipendi sana kuandika mambo ya siasa hizi za Bongo siku hizi sio kwasababu sipendi ila sipendi tu kuandika kuhusu hizi siasa uchwara.

Ok ni hivi, acha niandike kwa ufupi kuhusu tamko la Mbowe (CHADEMA)

Nimefikira sana kuhusu kauli na kuendelea kujifunza kuhusu mambo mengi sana juu ya siasa uchwara zilizopo Tanzania kutoka upinzani na chama tawala.

Kwenye hili la CHADEMA juu ya kutangaza maandamano yatakayoanza rasimi tarehe 24 Jan 2024 Ili kupinga miswaada mitatu ya sheria ambayo itaanza kusikilizwa hivi punde huko bungeni, ambayo miswaada yenyewe itahusu maswala ya uchaguzi, sio kosa kuhusu hilo maana nalo ni swala la msingi lakini naomba uelewa zaidi kuwa je watanzania swala la uchaguzi ndio swala pekee muhimu zaidi Kuliko mengine?

Kinachoonekana hapa ni kuwa CHADEMA hili la uchaguzi limekua tatizo au kikwazo kwao kwasababu lina msrahi kwao ya nafasi za uongozi maana wao hapo ndio wanapo patia Pesa na ulaji.

Sijaona umuhimu sana wa CHADEMA kuhitaji kutumia nguvu kubwa ya maandamano kwajili ya kutetea hili la uchaguzi, maana yapo ya maana zaidi kwa watanzania na hawakutumia nguvu kama hii wanayotaka kuitumia sasa.

Ok ni hivi....

Yapo mambo mengi sana ambayo ni matatizo makubwa kama mafuta kupanda bei, Ulaghai kwenye pembejeo, Ukatikaji wa Umeme usio na tija, Vikokotoo kwa watumishi wasio wanasiasa, Sheria mpya ya Bima ya afya, Kuwaongezea Viinua mgogo wanasia wa ngazi za juu, Sheria mbovu za kodi, Ukosefu wa ajira, na Upigaji kwenye ripoti ya CAG.

Ajabu sasa mambo haya ambayo yanawaumiza Watanzani kila leo na kuwaingiza kwenye umasikini mkubwa na kuwaacha bila matumaini ya kesho yapo na yanafahamika na wanasiasa hawa wanao jiita watetezi wa haki za watanzania lakini awajaweza hata siku moja kutoka mbele na kuitisha maandamano makubwa nchi nzima.

Wapo kimya na ikijulikana kuwa hayo matatizo yapo na yakiwatesa watanzania wanasiasa hawa hawajawahi kutumia nguvu kubwa kama hili waliyotumia ya kuitisha maandamano kupinga haya na kupigani haya.

Isipokuwa wamekaa kimya kama hayapo. Je, swali ni kwanini?

Jibu ya hili ni kwasababu hayana masilahi ya moja kwa moja kwao, ila yale ya uchaguzi yana faida ya moja kwa moja kwao, kwasababu yanawagusa wao, kwa mantiki hiyo inaonesha kuwa wanasiasa wetu hawapo kwajili ya matatizo yetu bali macho yao yanangalia chaguzi na jinsi wao watakavyo weza kushinda viti hivyo au nafasi hizo ili wapate ulaji, Wanacho Linda na kupigani ni nafasi zao na matumbo yao na sio kero za watanzania.

Kwasababu huu ndio maana niliona siasa zetu ni upuuzi mtu, hakuna mwanasiasa wala kiongozi ndani ya CCM au nje ya CCM aliyepo kwajili ya Mtanzania.

NB: Jiepushe kutumika kwajili ya matumbo na manufaa ya watu wachache ambao wemejivisha koti la uzalendo ili hali ndani yao ni matapeli wa kisiasa.

Siasa safi anza kupigania uchumi wako mwenyewe, ukiwa safi kiuchumi huto tumika na hawa wanasiasa uchwara kwa masilahi yao binafsi.

Zingatia kuwa Siasa zetu bado zinatafunwa na matumbo yenye njaa, Ulafi, Unafi, Ujinga na Undumila kuwili.
Akili ndogo rudi darasani.....
 
Katika hilo nimewashangaa sana pia CHADEMA, umeme umekata wamekaa kimya kama hakuna kitu,
Sera ya kikokotoo wapo kimyaaaa,
Bima ya Afya kwa wote hawajasema kitu,

Leo hii Tume huru ya uchaguzi ndo wanataka tuwapiganie, aiseee mm hapana, ila wakianzisha maandamano ya Bima ya afya, Umeme, Maji humo aisee mimi nimo mstari wa pili baada ya ule wa kina Mbowe,
Matatizo yote hayo wamesababisha Machadema
 
Hawa ni wanasiasa wachumia tumbo.
Chadema na Ccm ni kulwa na doto.

Sheria za uchaguzi ni maslahi yao kwani shida yao ni vyeo tu.

Wananchi tuna matatizo kibao wao hawana haja hata yakuyaongelea.
Mfumuko wa bei, Nauli juu, umeme shida, maji shida, ufisadi kila wizara. Uwajibikaji serikalini zero. Nk...
Haya yote chadema hawayaoni.
Unafiki wa hawa watu upo wazi sana.
 
Mimi bwana sipendi sana kuandika mambo ya siasa hizi za Bongo siku hizi sio kwasababu sipendi ila sipendi tu kuandika kuhusu hizi siasa uchwara.

Ok ni hivi, acha niandike kwa ufupi kuhusu tamko la Mbowe (CHADEMA)

Nimefikira sana kuhusu kauli na kuendelea kujifunza kuhusu mambo mengi sana juu ya siasa uchwara zilizopo Tanzania kutoka upinzani na chama tawala.

Kwenye hili la CHADEMA juu ya kutangaza maandamano yatakayoanza rasimi tarehe 24 Jan 2024 Ili kupinga miswaada mitatu ya sheria ambayo itaanza kusikilizwa hivi punde huko bungeni, ambayo miswaada yenyewe itahusu maswala ya uchaguzi, sio kosa kuhusu hilo maana nalo ni swala la msingi lakini naomba uelewa zaidi kuwa je watanzania swala la uchaguzi ndio swala pekee muhimu zaidi Kuliko mengine?

Kinachoonekana hapa ni kuwa CHADEMA hili la uchaguzi limekua tatizo au kikwazo kwao kwasababu lina msrahi kwao ya nafasi za uongozi maana wao hapo ndio wanapo patia Pesa na ulaji.

Sijaona umuhimu sana wa CHADEMA kuhitaji kutumia nguvu kubwa ya maandamano kwajili ya kutetea hili la uchaguzi, maana yapo ya maana zaidi kwa watanzania na hawakutumia nguvu kama hii wanayotaka kuitumia sasa.

Ok ni hivi....

Yapo mambo mengi sana ambayo ni matatizo makubwa kama mafuta kupanda bei, Ulaghai kwenye pembejeo, Ukatikaji wa Umeme usio na tija, Vikokotoo kwa watumishi wasio wanasiasa, Sheria mpya ya Bima ya afya, Kuwaongezea Viinua mgogo wanasia wa ngazi za juu, Sheria mbovu za kodi, Ukosefu wa ajira, na Upigaji kwenye ripoti ya CAG.

Ajabu sasa mambo haya ambayo yanawaumiza Watanzani kila leo na kuwaingiza kwenye umasikini mkubwa na kuwaacha bila matumaini ya kesho yapo na yanafahamika na wanasiasa hawa wanao jiita watetezi wa haki za watanzania lakini awajaweza hata siku moja kutoka mbele na kuitisha maandamano makubwa nchi nzima.

Wapo kimya na ikijulikana kuwa hayo matatizo yapo na yakiwatesa watanzania wanasiasa hawa hawajawahi kutumia nguvu kubwa kama hili waliyotumia ya kuitisha maandamano kupinga haya na kupigani haya.

Isipokuwa wamekaa kimya kama hayapo. Je, swali ni kwanini?

Jibu ya hili ni kwasababu hayana masilahi ya moja kwa moja kwao, ila yale ya uchaguzi yana faida ya moja kwa moja kwao, kwasababu yanawagusa wao, kwa mantiki hiyo inaonesha kuwa wanasiasa wetu hawapo kwajili ya matatizo yetu bali macho yao yanangalia chaguzi na jinsi wao watakavyo weza kushinda viti hivyo au nafasi hizo ili wapate ulaji, Wanacho Linda na kupigani ni nafasi zao na matumbo yao na sio kero za watanzania.

Kwasababu huu ndio maana niliona siasa zetu ni upuuzi mtu, hakuna mwanasiasa wala kiongozi ndani ya CCM au nje ya CCM aliyepo kwajili ya Mtanzania.

NB: Jiepushe kutumika kwajili ya matumbo na manufaa ya watu wachache ambao wemejivisha koti la uzalendo ili hali ndani yao ni matapeli wa kisiasa.

Siasa safi anza kupigania uchumi wako mwenyewe, ukiwa safi kiuchumi huto tumika na hawa wanasiasa uchwara kwa masilahi yao binafsi.

Zingatia kuwa Siasa zetu bado zinatafunwa na matumbo yenye njaa, Ulafi, Unafi, Ujinga na Undumila kuwili.
Wewe hujui kwamba hayo matatizo yameletwa na sheri a mbovu
 
Watu hovyo kama ninyi ndiyo CCM inawategemea? Kama huwezi kuona matatizo uliyoorodhesha chanzo ni uongozi mbovu basi wewe huna tofauti na kondoo
Mtoa mada hajapinga maandamano point yake ya msingi kwanini linapokuja suala linalogusa maslahi ya moja kwa moja kama umeme huwakuti wakiandamana au kutumia nguvu kubwa kama wanavyofanya kwenye suala la uchaguzi?
 
Mtoa mada hajapinga maandamano point yake ya msingi kwanini linapokuja suala linalogusa maslahi ya moja kwa moja kama umeme huwakuti wakiandamana au kutumia nguvu kubwa kama wanavyofanya kwenye suala la uchaguzi?
Ndiyo maana nikamjibu kuwa wana deal na mzizi wa tatizo. Wakiandamana wakati hakuna umeme itasaidia nini wakati wazembe waliosababisha tatizo wako pale pale? Jino likioza na likianza kuuma utalituliza kwa dawa au utaling'oa?
 
Back
Top Bottom