Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,210
- 12,710
Hii ishu siyo ya kidemokrasia kabisa. Kwanza inamnyima haki ya kidemokarisia mwananchi mpaka alazimike kuwa kwenye haya magenge ya siasa.
Pia inawanyima wananchi kuchagua wampendae, badala yake ni kama kwa sehemu wanachaguliwa na haya magenge. Fikiria kuna wagombea labda 3. Kila mtu/watu wanampenda wao. Lakini chama cha siasa kinampitisha wao, wananchi wanatakiwa kuchagua waliopitishwa na haya magenge tu na si wamtakae. Kama ni hivyo basi waseme hata kupiga kura lazima uwe kwenye chama cha siasa.
Wengi wanaweza kuwa wanafaa kuwa maspika wa jamhuri ya muungano. Na kila mbunge kuna mtu anaona anafaa, lakini haya magenge yatachagua wachache na wabunge watalazimika kuchagua hao.
Kiufupi ni kwamba, haki ya ugombea binafsi ni muhimu.
Pia inawanyima wananchi kuchagua wampendae, badala yake ni kama kwa sehemu wanachaguliwa na haya magenge. Fikiria kuna wagombea labda 3. Kila mtu/watu wanampenda wao. Lakini chama cha siasa kinampitisha wao, wananchi wanatakiwa kuchagua waliopitishwa na haya magenge tu na si wamtakae. Kama ni hivyo basi waseme hata kupiga kura lazima uwe kwenye chama cha siasa.
Wengi wanaweza kuwa wanafaa kuwa maspika wa jamhuri ya muungano. Na kila mbunge kuna mtu anaona anafaa, lakini haya magenge yatachagua wachache na wabunge watalazimika kuchagua hao.
Kiufupi ni kwamba, haki ya ugombea binafsi ni muhimu.