Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 373,016
- 864,145
Natoa pole na pongezi kwa yeyote mwenye kutafuta riziki yake, mchezo sio mdogo🙌🏾, Mungu MKUU na atutangulie!
Natoa pole na pongezi kwa yeyote mwenye kutafuta riziki yake, mchezo sio mdogo🙌🏾, Mungu MKUU na atutangulie!
Kwa nini sasa unakosa hela? 🤔Mi ndo Sina Hela kabisa,bado nguvu kipengele
Ni kama nalionaga kaburi Lile pale..
Mungu tu ananiokoa kupitia malaika wake
Don't quit 🤝🏽Mimi ni jeshi la mtu mmoja,unawajua ma -superwoman ww? mwenye nacho atazidishiwa na nikiongezewaa sikatai😎
Sina mtaji.nipe vyanzo vya pesa hata kazi kama Iko ndani ya uwezo wangu nafanyaKwa nini sasa unakosa hela? 🤔
Mkuu utaishije wakati watu wamekuambia hela hamna??Hii Dunia usipokua makini unaweza kujikuta muda wako wote uliyouishi hapa Duniani uliutumia kwa kukimbizana na hela tu na kusahau kabisa kuishi!
Hela zitafutwe ila usisahau "Kuishi" utafutaji wa hela hua hauna mwisho ila maisha yana mwisho.
Hutafuti hela kwa sababu benki kuu hawajasema kama kuna hela imepotea.Kuna wengine wanasema inategwa waje kutupa muongozo
Never!Don't quit 🤝🏽
Hela ipo tena ni nyingi sanaaaaa.Mkuu utaishije wakati watu wamekuambia hela hamna??
Nyie motivesheni spika bhana !!
Nani amekwambia kua mimi ni motivation speaker?Mkuu utaishije wakati watu wamekuambia hela hamna??
Nyie motivesheni spika bhana !!
Mtu anayetaka kupewa pesa huwa akili haifanyi kazi kwenye mashauri mengi, focus ipo kwenye intangible asset..Hela ipo tena ni nyingi sanaaaaa.
Hayo majumba, magari yooote unayoyaona hapo ulipo ni hela iliwezesha katika moja na mbili
Hela sio kitu halisi, ni karatasi tu, ila ni nyenzo katika kufanya mabadilishano ya huduma.
Hivyo basi jitahidi uwe na huduma nzuri, inayosolve mahitaji ya watu hasa ya kila siku, ni lazima utaletewa hela.
Ikija Ichukue kisha na wewe uitume kazi, usiweke kwenye kibubu kwa sababu utakua hujaweka uthamani wowote bali umeweka njia(means) ya uthamani
Kama upo kwenye sekta ya afya, nicheki..Sina mtaji.nipe vyanzo vya pesa hata kazi kama Iko ndani ya uwezo wangu nafanya
Umeandika takataka za motiveshinal spikasHela ipo tena ni nyingi sanaaaaa.
Hayo majumba, magari yooote unayoyaona hapo ulipo ni hela iliwezesha katika moja na mbili
Hela sio kitu halisi, ni karatasi tu, ila ni nyenzo(means) katika kufanya mabadilishano ya huduma etc.
Hivyo basi jitahidi uwe na huduma nzuri, inayosolve mahitaji ya watu hasa ya kila siku, ni lazima utaletewa hela.
Ikija Ichukue kisha na wewe uitume kazi, usiweke kwenye kibubu kwa sababu utakua hujaweka uthamani wowote bali umeweka njia(means) ya uthamani.
Ndio maana watu wanasemaga mtu alieajiriwa ni ngumu kutajirika kwa sababu anatoa nguvu na muda wake ili apewe means ya thamani na sio thamani halisi.
Ingekua poa kama mtu angekua anaajiriwa sehemu kwa makubaliano labda mwisho wa mwezi anapewa shamba au kiwanja ingekua na maana zaidi
Kuna wimbo mmoja umeimbwa na Ras Karbi unaitwa "Jah Rastaman"
Kuna mstari mmoja unasema,
"The money we work is never enough, the little we get, they wanna take it away"
Pesa haijai. Hata uitafute kwa nguvu zote, Ukiipata bado utaona haitoshi.
Utajiri wa Elon Musk umefika dola za kimarekani Billion 852. Ila jamaa bado ana hustle.
Anaona bado hazitoshi.
View: https://youtu.be/h29_oCR6bTs?si=kUgocIDER54ho7xY
Pole sana mkuuMi ndo Sina Hela kabisa,bado nguvu kipengele
Ni kama nalionaga kaburi Lile pale..
Mungu tu ananiokoa kupitia malaika wake