Hela inatafutwa kwa nguvu jamani, mmh!

Hela inatafutwa kwa nguvu jamani, mmh!

Hii Dunia usipokua makini unaweza kujikuta muda wako wote uliyouishi hapa Duniani uliutumia kwa kukimbizana na hela tu na kusahau kabisa kuishi!

Hela zitafutwe ila usisahau "Kuishi" utafutaji wa hela hua hauna mwisho ila maisha yana mwisho.
Hii point, hapo kwenye kuishi ni kujipa mapumziko au kula bata??
 
Hii Dunia usipokua makini unaweza kujikuta muda wako wote uliyouishi hapa Duniani uliutumia kwa kukimbizana na hela tu na kusahau kabisa kuishi!

Hela zitafutwe ila usisahau "Kuishi" utafutaji wa hela hua hauna mwisho ila maisha yana mwisho.
Kuna muda hata balansi haipatikani, kazi asubuhi, mchana na jioni
 
Nafanya.lakini najikuta natamani kukifanya kwenye ubora zaidi.na kuhitaji wa nguvu ndipo unapotokea.maana hata kile nkifanyacho hakikidhi mahitaji

Muuza nyanya angekaa tu angeuza?
Akitembeza na mzigo kichwani door to door ndo anauza
Na wengine Wana mitaji wanafungua magenge wanauza
Nafikiri ktk kuongeza nguvu kwenye mitaji yetu ndio mtihani mkubwa sana kwetu sote, kikbwa ni kujaribu kukilinda hicho kidogo ulichokianzisha mpaka kifikie mahala pakukuwezesha kuyahudumu mahutaji yako na jamii yako, Mungu akubariki sana na kukupa uwezo na uvumilivu wa kuthubutu bila kuchoka.
 
Hii point, hapo kwenye kuishi ni kujipa mapumziko au kula bata??
Vyote viwili mkuu,yani uwe na maisha mengine nje ya utafutaji,unatenga muda wako wa kuishi,unafanya kitu ambacho nafsi yako inapenda,maisha sio kukimbizana na hela tu,kila siku watu husema "Natengeneza kesho yangu" cha ajabu hiyo kesho hua haifiki,

Yachukulie maisha simple tu hata kama unapitia magumu,relax and enjoy the life,

Uhai una thamani kubwa sana kuliko kitu chochote kile,as long as una afya njema,don't forget to live your life,maisha ni mara moja tu,ukifa hurudi tena,usiishi maisha yako yote kwa kujikatia tamaa,kujiona mnyonge au kujiona wewe ni masikini,uhai peke yake ni utajiri mkubwa sana.
 
Vyote viwili mkuu,yani uwe na maisha mengine nje ya utafutaji,unatenga muda wako wa kuishi,unafanya kitu ambacho nafsi yako inapenda,maisha sio kukimbizana na hela tu,kila siku watu husema "Natengeneza kesho yangu" cha ajabu hiyo kesho hua haifiki,

Yachukulie maisha simple tu hata kama unapitia magumu,relax and enjoy the life,

Uhai una thamani kubwa sana kuliko kitu chochote kile,as long as una afya njema,don't forget to live your life,maisha ni mara moja tu,ukifa hurudi tena,usiishi maisha yako yote kwa kujikatia tamaa,kujiona mnyonge au kujiona wewe ni masikini,uhai peke yake ni utajiri mkubwa sana.
Very useful,ujumbe mzuri
Sawa nyingine tunajisahau

Ila Sasa Kuna watu Wana skip kuishi Kwa soda wakiwekeza huo muda kutafuta wakapate ya kunywa Hennessy wakiamini ndio watafurahia zaidi ama furaha zaidi ipo huko.
Unashaurije?
 
Nafikiri ktk kuongeza nguvu kwenye mitaji yetu ndio mtihani mkubwa sana kwetu sote, kikbwa ni kujaribu kukilinda hicho kidogo ulichokianzisha mpaka kifikie mahala pakukuwezesha kuyahudumu mahutaji yako na jamii yako, Mungu akubariki sana na kukupa uwezo na uvumilivu wa kuthubutu bila kuchoka.
Amina
 
Mi ndo Sina Hela kabisa,bado nguvu kipengele
Ni kama nalionaga kaburi Lile pale..
Mungu tu ananiokoa kupitia malaika wake
Pole sana dada ,umeshawahi kuwaza kupata mwenza labda msaidizane majukumu?

Naelewq shida unayoipitia ila hata sisi wengine tuna makubwa ya kutuhitaji tuwe waume za watu tusaidizane hapa na pale au unasemaje dada?
 
Very useful,ujumbe mzuri
Sawa nyingine tunajisahau

Ila Sasa Kuna watu Wana skip kuishi Kwa soda wakiwekeza huo muda kutafuta wakapate ya kunywa Hennessy wakiamini ndio watafurahia zaidi ama furaha zaidi ipo huko.
Unashaurije?
Furaha hua ina mwisho,utasema nikipata kitu fulani nitafurahi,ni kweli utafurahi kwa muda kisha kitu hicho utakiona ni cha kawaida tu,halafu utahamia kwenye kitu kingine na kusema ukikipata utafurahi....furaha hua ni ya muda tu,furaha ya kweli haisababishwi na material possessions,

Wakati ukiishi kwa kukimbizana na hela tambua kua muda wako wa kuishi hapa Duniani nao unapungua,at the end unakuja kukumbuka kua ulisahau "Kuishi"
 
Back
Top Bottom