dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,126
- 49,385
Sana Chief! Kwanza namsifu huyo dada ni mvumilivu; anafanya kazi halali (sio haramu kama zile za ngada au ukahaba); na kama ulivosema, kutafuta hela sio mchezo; uvumilivu mwingi unahitajika ukizingatia nature ya kazi yake ni huduma kwa wazee na wenye upungufu wa akili kama hicho kibibi.Kutafuta pesa haijawahi kuwa kazi rahisi...