The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,117
- 50,928
Binti acha maringo.... nimekuambia usinizoee! Elewa hilo.
Binti acha maringo.... nimekuambia usinizoee! Elewa hilo.
$10,000 ?
Mi hata angenizibua kofi ningemwambia " thank u
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Huyu ni wa kuwekewa sumu afe hana faida yoyote hapa dunianiKuna binadamu wana roho mbaya. Sasa kama huyo unaona kabisa ametelekezwa, anakaa mwenyewe.
Kawékewa msaidizi lakini tabu tupu.
Hapo hata watoto wake watashindwa hata wamsaidie vipi.
Huyo probably ana chronic depression kutokana na upweke.
Wewe ni Mwarabukoko?Leo mmeleta mateso toka kwa wazungu?
Hiyo clip ingekua huyo Dada anafanyiwa hivyo na Waarabu basi hii thd ingekua ina kwenda spidi ya SGR.
Wale ambao hua wanasapoti wazungu hua ni Wazungukoko?Wewe ni Mwarabukoko?
yule jamaa alikuwa dereva aliiba mafuta zilikuwa lori za UsanguKuna tajiri wa malori sjui mhindi/mwarabu
Alimtandikaga dereva wake risasi alikufa
Hapo hapo vyombo vya habari viliripoti
Vp kna hatua gani ilichukuliwaaaa maana jamaa
Hakuchukuliwa hatua youote
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Sema si kuna makodi kibao hapo?Possible anaweza akawa anakunja huo mkwanja ,kuna mshikaji wangu anapiga box huko anakunja usd 12000.
Daaah nimetamani walshHiyo anakunja mkononi.....Kule matumizi ndio mengi ,ukiwa mtu wa kujibana unafanya maajabu huku TZ....Kurudi home na USD 200,000 kawaida tu.
Vipi mkuu wwwe ni mwarabu ama umeambukizwa tamaduni zaoLeo mmeleta mateso toka kwa wazungu?
Hiyo clip ingekua huyo Dada anafanyiwa hivyo na Waarabu basi hii thd ingekua ina kwenda spidi ya SGR.
Mie hata akinikojolea sawa tu ama akinipaka mavi mbona fresh sanaNimechunguza wengi wenu muliotoa hoja mna mioyo mepesi hamuwezi kufanya kazi ulaya au uarabuni kazi za ndani. Mutawauwa munao waangalia wazee vikongwe kama huyo bibi.
Tena huku Bongo ndo kabisaaa!! unafanyiwa hivo na ndugu km shangazi yako kabisaaa!! tumbo moja na Babako na anaishi kwa nyumba aliyojenga baba yako!!Ingelikuwa ni wewe ungekubali kufanyiwa hivyo alivyo fanyiwa huyo Mwanamke? Ungeliweza kuvumilia na hiyo kazi?
Uko sahihi kabisa Mkuu!! kwa kuwa una Damu ya kitumwa ila hujijui!!, zamani watumwa km wewe walikuwa wanajitolea tu kwenda kuuzwa kwa ridhaa yao kabisaaa!! hasa kabila km yako!!! japo walitetewa lkn waliua wateteaji wao kwanza.Mie hata akinikojolea sawa tu ama akinipaka mavi mbona fresh sana
Yaani wewe km siyo mkurya ni Damu ya Utemini hasa!! Nani mkama Marumbo au mkwawa?Daah watu wana uvumilivu mimi ningemvunja kiuno huyo bibi.
Mbaya zaidi awe mweusi mweee!!!! TWAFWAHalafu umesikia kanasema, i'm going to call the police.
Na police wa huko, simu moja tu wako mlangoni. Ni bora hata karekodi ushahidi.
Kwa heshima naombamuwe mke wa saba, nitakujali, km jamaa yako haeleweki njooo bure nakutumia nauliNi busara tu ndugu inabidi itumike, mimi hata mtu anayetumia nguvu kubwa kumdhibiti mtoto mdogo asiyekuwa na akili huwa namshangaa sana, kwasababu ushajua huyu hana akili, kumkazia sana ni kujionesha kwa jinsi gani wewe mhusika ndio huna akili.
Wewe ni Mzungu ama umeambukizwa tamaduni zao?Vipi mkuu wwwe ni mwarabu ama umeambukizwa tamaduni zao