Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,080
- 4,276
What the hell is continuing here?!!!!!!!
Threadraising are you ready???
What the hell is continuing here?!!!!!!!
Gonga thanks bana sio ya mdomo tu jana tumelala usiku wa manane tunachangia tu naniino yako
mh!kokudo kama hajaridhika basi tena,,,kokudo anzisha sred nyingine kujipongeza kwa haya mafanikio
Katukeshesha hala ana thanks kama 12 sijui zimeongezeka
mh!kokudo kama hajaridhika basi tena,,,kokudo anzisha sred nyingine kujipongeza kwa haya mafanikio
Duh!!!! Wajukuu mnaitwa na babu yenuNaomba kuuliza huyu mtoa sredi:
Ni mvulana au msichana?
Ameoa au ameolewa?
Amechumbia au amechumbiwa?
Amezaa au amezalisha?
Ni mwanamke au mwanaume?
Ni kibabu au kibibi
Ni mjukuu au ni mpwa?
Mjukuu mmoja mwadilifu aje huku kitandani na majibu tafazali!
Duh!!!! Wajukuu mnaitwa na babu yenu
Kama hao hawachangii thread zako waliobaki mbona nao hawachangiii........?
Karibuni leo jion 2fungue shampain pamoja coz mmenipa ushrikiano wa kutosha
wanatoa michango inayopendwa...na si kwamba wanapendwa...wewe ukipost pumba unafikiri kuna watu wana muda wa kuhangaika kusoma....jenga jina lako kwa kuandika yanayojenga uone kama hawatakushabikia pia
Nimeshajibu au hukuisoma?jibabaNaomba kuuliza huyu mtoa sredi:
Ni mvulana au msichana?
Ameoa au ameolewa?
Amechumbia au amechumbiwa?
Amezaa au amezalisha?
Ni mwanamke au mwanaume?
Ni kibabu au kibibi
Ni mjukuu au ni mpwa?
Mjukuu mmoja mwadilifu aje huku kitandani na majibu tafazali!
Nimeshajibu au hukuisoma?jibaba
Nimeshajibu au hukuisoma?jibaba
LD,DENA AMSI,MICHELLE,MARIA ROZA,LIZZY,KIMEY,THE FINEST na wengine kibao wana muda gani humu jf?maana inaweza kua vigezo hufuatwa sana.mbona wengine 2kipost post ze2 hazpati wachangiaji?ndo kusema hazna ujazo?lakn hawa member bwana hata kama ka2mwa na mtu aje humu amtafutie mchumba wee nusu saa nyingi post mpaka zina jam why jamani?au ndo kujuana?mpaka kuna mwana jamvi mmoja aliomba kutoka jf.acha nibwatuke sumu iishe mnakera wana jamvi
Ahaaa ahaaaa Kashaija l.o.lKaka wasipochangia achana nao. Mimi wakikataa kuchangia naenda na mada yangu baa nikiwa na kitu kama TZS 50,000. Namwaga raundi ya kwanza, ya pili, ya tatu,,,, halafu nitupa mada hewani. Weee, hata kama mada ni pumba ni lazima watu wachangie ili nisiondoke.
Kaka usipate vidonda vya tumbo, ndivyo wanadamu tulivyo. Kujuana lazima.
MANGALIA watu watakavyoisapoti post yangu. Usione wivu, vidole havilingani.