beatrixmgittu
Senior Member
- Dec 21, 2010
- 113
- 7
Yaani ukiwa konda ndo uite wake wa wenzako majina ya chumbani . . . ??
Au kwa vile wewe ndo AL Adawi wa hichi kipanya?
Napita tuuu!!
Yaani ukiwa konda ndo uite wake wa wenzako majina ya chumbani . . . ??
Au kwa vile wewe ndo AL Adawi wa hichi kipanya?
Aiseee Ali Adawi (ALI HADAIWI) ameenda wapi namtafuta?????:a s 13::a s 13::a s 13:
Napita tuuu!!
Karibu ndani...........mida ya lunch hii utapitaje tu..........?
Halafu wewe binti nilikwambia uje ghetto hutaki
Hebu nipishe nikae kiti kwanza, we shikilia bomba hilo au njoo nikupakate
kwani we ndo konda wa hili daladala:A S 13:
Sawa mama nimekuelewa.pole kwa kukukwaza nisamehe okKokudo sijataka kulalamika tu!! Lakini nakumbuka uliwahi kuaga unasafiri nikakuaga tena nikawa nakuomba useme unaenda wapi halafu hukusema!! Umeenda umerudi nimekukaribisha. Kama sichangii nimeyajua je hayo. Wewe acha utoto!!!!!! Sawa!!! Sema sawa mama!!!
Sawa mama nimekuelewa.pole kwa kukukwaza nisamehe ok
Shossi upo kama uliaga vile?? kuna wali na sombe.??
Ukiaga ni rahisi kurudi au hujui? utakacho utapakuliwa.............
The finest&dena sichungulii jamani speed yangu ni ya kinyonga but thanks all members nawapenda wote mlojoin pa1 kahawa yenye sukari ndo naamka nilchelewa lala
Ahaaa ahaaaa l.o.lDeiwaka huyo konda ni finest
Jamani dena c yamekwisha jamani?bc na wewe nisamehe mamangu/babangu
jmani wote mliochangia hapa nataka niwape zawadi.
Babu the hell keeps on continuingWhat the hell is continuing here?!!!!!!!