LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
Kokudo sijataka kulalamika tu!! Lakini nakumbuka uliwahi kuaga unasafiri nikakuaga tena nikawa nakuomba useme unaenda wapi halafu hukusema!! Umeenda umerudi nimekukaribisha. Kama sichangii nimeyajua je hayo. Wewe acha utoto!!!!!! Sawa!!! Sema sawa mama!!!