<br />
<br />
Laptop imebuma, desktop no network
HII NDIO PICHA YA KUFUNGIA HII SREDI
![]()
LD hii ngoma ilikesha swali la kizushi huko DO ONCE unafanya nini?
Pole mpenzi.............
Angalau nimerudi kwa desktop
HC bana hiyo picha hata ukiiweka mimi simalizi hii thread mpaka 3000 post zitimie za kwangu tu
Mwenzangu huku unakwenda bila kupenda lol!! Do wance anakutembelea asubuhi bila hata taarifa. Basi na kamobile nako kakiisha mafuta ya taa basi unakuwa mbali na wapwaaaazi kabisa......!!!!
Keki ya nini tena dena?
Siku zote kwenye "pumba" nyingi "ndege" hujazana
Nzuri dena amsi hofu kwako?wambie wadau zimetosha
Duh post elfu tatu!!!!!