The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,097
Hommie unataka kufanya mrejeshoUmeshapata mchumba hivi?
Hommie unataka kufanya mrejeshoUmeshapata mchumba hivi?
<br />Hata mie naona...........
LD,DENA AMSI,MICHELLE,MARIA ROZA,LIZZY,KIMEY,THE FINEST na wengine kibao wana muda gani humu jf?maana inaweza kua vigezo hufuatwa sana.mbona wengine 2kipost post ze2 hazpati wachangiaji?ndo kusema hazna ujazo?lakn hawa member bwana hata kama ka2mwa na mtu aje humu amtafutie mchumba wee nusu saa nyingi post mpaka zina jam why jamani?au ndo kujuana?mpaka kuna mwana jamvi mmoja aliomba kutoka jf.acha nibwatuke sumu iishe mnakera wana jamvi
Hivi Mohammed na Maria yaani MM mhhhhh!!! hebu ngoja nifanye tafakari l.o.lUsijali mkuu nipo na wewe bega kwa bega Maria Roza ataambatana na sisi?
Jamani pole, im happy unaendelea vizuri ntakupitishia juice ya karanga na parachichi, me niko bien.
<br />Jamni mwenye mada umeridhika au wataka na THANKS!!!
Mwenye mada amekumbwa na ukame wa kutoa THANKS dah tokea October 2010 ametoa thanks 4 tu inaonekana mvua haijanyesha kwahiyo kuna ukame wa kuwapa watu thanks upande wakeJamni mwenye mada umeridhika au wataka na THANKS!!!
Hivi Mohammed na Maria yaani MM mhhhhh!!! hebu ngoja nifanye tafakari l.o.l
<br />
<br />
Samora mpaka nitimize post 3000 kwa hii thread
<br />Haumuoni anachungulia chini hapo kwenye dirisha
<br />
<br />
Nadumisha utamaduni
<br />LOl! alafu mwenyewe sijui kajificha wapi
<br />Hivi jana hukurudi nyumbani? maana naona "posted via mobile" lol
<br />
<br />
Bado kalala jana kachelewa kulala
Ahaaa ahaaaa SITTING ROOM una ajenda ya siri nimekustukia l.o.lSasa tukienda mie na wewe mtaniacha sitting room peke yangu? si bora twende nae nipate kampani ya kuangalia nae senema zetu zile?
Jamni mwenye mada umeridhika au wataka na THANKS!!!
<br />
<br />
Laptop imebuma, desktop no network