Hawa members wana muda gani hapa JF?

Hawa members wana muda gani hapa JF?

Niko mzima TF....hofu kwako!....
Kaisari leo alikuwa mkali.....so nilikuwa natimiza wajibu!

Hajambo AD lakini?
Aiseee mimi amenitumikisha hadi naanza kuhisi nguvu za kiume zimepungua l.o.l aisee hajambo mzima kabisa anakusalimu
 
hatimae kurasa 20 zimefika....hureeeeeeeeeeeeeeeee wana JF tujipongeze kwa kazi hii nzito,kokudo cheki jinsi unavyopendwa...fungua champagne tugonge cheeeeeeeeeeeers!<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/A S 13.gif" border="0" alt="" title="A S 13" smilieid="89" class="inlineimg" />
<br />
<br />
Dah afadhali TF hongera kwa kuweka idadi ya 20 tumetimiza
 
Aiseee mimi amenitumikisha hadi naanza kuhisi nguvu za kiume zimepungua l.o.l aisee hajambo mzima kabisa anakusalimu

Mhhhh...mbona pole kwa hilo dear....usisahau kula vitunguu saumu....kuna mahali niliisikia hii kitu inasaidia.....🙂
 
Niwapongezeni tu kukamilisha hii harambee ya kokudo
Naona hii harambee imepumzika kesho itaendelea tena l.o.l wachangishaji wakuu ni Michelle, Kimey, Dena, Hashy, Maria Roza, TF, Lizzy, LD na wengineo
 
Naona hii harambee imepumzika kesho itaendelea tena l.o.l wachangishaji wakuu ni Michelle, Kimey, Dena, Hashy, Maria Roza, TF, Lizzy, LD na wengineo
<br />
<br />
Nitaiamsha mapemaa! Ucku mwema wajameni
 
Naona hii harambee imepumzika kesho itaendelea tena l.o.l wachangishaji wakuu ni Michelle, Kimey, Dena, Hashy, Maria Roza, TF, Lizzy, LD na wengineo

Siyo siri, 20 pages by just about 8 people. Big respect
 
Nimeamini kuna mfumuko mkubwa sana wa bei!!

JF imechukua nafasi ya Baa - Kaunta ya Juu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom