Hawa members wana muda gani hapa JF?

Hawa members wana muda gani hapa JF?

KOKUDOOO! Uwapi ndugu yangu? Umeshajua maana ya msemo USIANDAE MKEKA KABLA HUJAJUA IDADI YA WAGENI? Leo kula kwako,kulala kwako na usisahau wengine 2narauka makazini kesho.halahala mkuu.wapi ubwabwa?[/QUOTE]

hahahaha Fundiaminy umenichekesha ujue....

saaly ucjali.hata ukininyima hio senksi mi najibugia hapa...tena kuna m2 kaiba pilipili zangu hapa.
 
hatimae kurasa 20 zimefika....hureeeeeeeeeeeeeeeee wana JF tujipongeze kwa kazi hii nzito,kokudo cheki jinsi unavyopendwa...fungua champagne tugonge cheeeeeeeeeeeers!:A S 13:
 
hatimae kurasa 20 zimefika....hureeeeeeeeeeeeeeeee wana JF tujipongeze kwa kazi hii nzito,kokudo cheki jinsi unavyopendwa...fungua champagne tugonge cheeeeeeeeeeeers!:A S 13:

Aaaaaggrrrrr, ina maana nimechelewa?
 
Aaaaaggrrrrr, ina maana nimechelewa?

heheh sio saana,ndio nyie nyie wakuzuga mnajitokezaga wkt wenzenu kazi nzito wameimaliza,anyway endelea kuongeza ongeza tumfurahishe kokudo hahaha:wink2::wink2::wink2:
 
heheh sio saana,ndio nyie nyie wakuzuga mnajitokezaga wkt wenzenu kazi nzito wameimaliza,anyway endelea kuongeza ongeza tumfurahishe kokudo hahaha:wink2::wink2::wink2:

Nilitumwa mjini! Hujambo lakini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom