Hatimaye Jumamosi hii nafunga ndoa Rasmi

Hatimaye Jumamosi hii nafunga ndoa Rasmi

Wakuu Herini ya Pasaka na Poleni kwa msiba Wa Pope.

Kama nikivyowaahidi kwenye ule Uzi wangu wa Nyuma kama hujausoma au hukumbuki (Mkasa wa kweli, kuhusu visa vya kushangaza nilivyokutana navyo katika kazi za Udalali) sasa ni Rasmi wiki hii nitafunga ndoa Rasmi na Judi wang

Tumepitia mitihani na misukosuko mingi, Mungu ametubariki pia baraka za Rohoni na mwilini tuna Mengi ya Kushuhudia lakini ndoa yeti itakuwa ushuhuda mzuri pia.

Sasa Mungu anakwenda kutuunganisha upya na tutafanyika mwili mmoja.

Ni hayo machache TU kwa leo,kila jambo linawezekana.

Mungu akukumbuke na wewe pia update mtu sahihi mutakayeelewana,na kukubaliana kutokubaliana kwa maslahi mapana ya family.
Katika hilo la ndoa niseme tu POLE SANA. Unachotumia nguvu kubwa kukitafuta soon UTAKIPATA.
#KATAANDOA #KATAAWIZINAUTAPELI
 
Kila la kheri mkuu
e2b1b1b24b572e72a230c8b6f4a1600d.jpg
 
Mi napenda sana mikakati ya kiuchumi ya wanawake wa kichaga aiseh!

Wakiitaka ndoa wanawekeza sana coz anajua akiipata ndoa amepata uwekezaji wa kudumu!wakifikia malengo then mnatafuta life kwa Kasi sana then mkishapata kazi inaanza mkuu!!

Ni ngumu sana kujua huyo mwanamke ni kwanini alikubali uishi nae majibu unayapata baada ya miaka mingi sana Tena sana!!ukishayapata inakua too late kufanya lolote halafu ye anakuambia kirahisi TU "wanawake wapo wengi nenda kaoe" baada ya kuona kapata muelekeo!kumbe wewe uliwekeza maisha rasmi na nafsi!!!

Sijui tufanya maamuzi gani hasa kwenye haha maisha aiseh!!
Kila jambo linakuwa na matokeo chanya au hasi no lazima tukumbane nayo.
 
Hongera sana mkuu

Tusisikilize walimwengu hawana wema,

Hawana wema hao,

Tupatapo neno tulichuje lililo Jema liwe wetu,

Kama kujenga, mimi na wewe Tutunze ndoa yetu,

Tusisikilize walimwengu hawana wema,

Hawana wema hao,

Mpenzi wangu Lamomy 😍 hii nyimbo isipopigwa hamlii wala kula ndafu na nyama choma

Insha'Allah nasi vijana wa Dr am 4 real PhD tuoe anaanza huyu SECRETARY BIRD uoe & Intelligentbusinessman
Asante sana
 
Hongereni sana kwa kuchukua hatua hii ya muhimu maishani mwenu.

Nawatakia kila la heri katika maandalizi ya ndoa yenu na maisha yenu mapya pamoja.

Aliyekiunganisha Mbinguni, asitokee wa kukitenganisha Duniani isipokuwa Kifo pekee.
Amen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom