Kiiman sio wakeKma hukumtoa bk bado umepigwa
😹😹😹 Hapo kwenye ndoto za kukimbizwa..😁😁
Siwezi kula huku wa ubavu ananiangalia tu, mwe! Nitaonekana mchoyo ingawa kasusa kwa kupenda.
Hapo bado kulazana mzungu wa 4, wacha tu tuendelee kulala na kujikumbatia wenyewe…Huku tukiota ndoto za kukimbizwa.
Wengine roho zetu nyepesi.
😁😁😹😹😹 Hapo kwenye ndoto za kukimbizwa..
Raisi wa chama Cha majobless pro max Intelligent businessman heshima yako mkuuSecret bird na rais wetu wa sisi jobless pro max, wapi makutupola ,wapi balatola.
Kila lakheli TUCHUKUE JIMBO LETU ILO LAMONY
Ndugu yanguRaisi wa chama Cha majobless pro max Intelligent businessman heshima yako mkuu
SECRETARY BIRD ndege wa kiotani
makutupora ndugu yangu
Bolotoba mjumbe wa buguruni
Insha'Allah lazima Lamomy achukuliwe 😍
Naam nipange bravo...Ndugu yangu
Yaani lazima achukuliwe hata kwa figisu figisu tutazipigaaRaisi wa chama Cha majobless pro max Intelligent businessman heshima yako mkuu
SECRETARY BIRD ndege wa kiotani
makutupora ndugu yangu
Bolotoba mjumbe wa buguruni
Insha'Allah lazima Lamomy achukuliwe 😍
Ewaaah nikiwa na mzee smart kama wewe hapaharibiki neno 😂 👊Yaani lazima achukuliwe hata kwa figisu figisu tutazipigaa
#ukitakakumuonashetanilivefungandoa#SIku zote mapenzi ni matamu sana kabla hamjashirikisha makaratasi ya kisheria.
Kila la kheri kwake...
kaka hali vipi aseehRaisi wa chama Cha majobless pro max Intelligent businessman heshima yako mkuu
SECRETARY BIRD ndege wa kiotani
makutupora ndugu yangu
Bolotoba mjumbe wa buguruni
Insha'Allah lazima Lamomy achukuliwe 😍
Sijambo kaka habari yakokaka hali vipi aseeh
Nakubaliana na wewe 100%#ukitakakumuonashetanilivefungandoa#
Uzi niliweka upo huku 😂
aisee same herez shida naona ni kama uhuru uta isha 😆Umenifanya nicheke kwa nguvu😹😹😹
Mahi wangu mimi ninaogopa NDOA😹
Jobless Mimi niko poaRaisi wa chama Cha majobless pro max Intelligent businessman heshima yako mkuu
SECRETARY BIRD ndege wa kiotani
makutupora ndugu yangu
Bolotoba mjumbe wa buguruni
Insha'Allah lazima Lamomy achukuliwe 😍
Pamoja Sana mkaliWakuu Herini ya Pasaka na Poleni kwa msiba Wa Pope.
Kama nikivyowaahidi kwenye ule Uzi wangu wa Nyuma kama hujausoma au hukumbuki (Mkasa wa kweli, kuhusu visa vya kushangaza nilivyokutana navyo katika kazi za Udalali) sasa ni Rasmi wiki hii nitafunga ndoa Rasmi na Judi wang
Tumepitia mitihani na misukosuko mingi, Mungu ametubariki pia baraka za Rohoni na mwilini tuna Mengi ya Kushuhudia lakini ndoa yeti itakuwa ushuhuda mzuri pia.
Sasa Mungu anakwenda kutuunganisha upya na tutafanyika mwili mmoja.
Ni hayo machache TU kwa leo,kila jambo linawezekana.
Mungu akukumbuke na wewe pia update mtu sahihi mutakayeelewana,na kukubaliana kutokubaliana kwa maslahi mapana ya family.
Umekuwa kimya kidg muheshimiwa Raisi ila nashukuru kama uko poaJobless Mimi niko poa