Hatimaye Jumamosi hii nafunga ndoa Rasmi

Hatimaye Jumamosi hii nafunga ndoa Rasmi

Wow hongereni, kweli mvumilivu hula mbivu. Huko Judy atakuwa na furaha sana. Ndoa ikawe ya kheri, utulie, Mwenyezi Mungu awatangulie.
 
Wakuu Herini ya Pasaka na Poleni kwa msiba Wa Pope.

Kama nikivyowaahidi kwenye ule Uzi wangu wa Nyuma kama hujausoma au hukumbuki (Mkasa wa kweli, kuhusu visa vya kushangaza nilivyokutana navyo katika kazi za Udalali) sasa ni Rasmi wiki hii nitafunga ndoa Rasmi na Judi wang

Tumepitia mitihani na misukosuko mingi, Mungu ametubariki pia baraka za Rohoni na mwilini tuna Mengi ya Kushuhudia lakini ndoa yeti itakuwa ushuhuda mzuri pia.

Sasa Mungu anakwenda kutuunganisha upya na tutafanyika mwili mmoja.

Ni hayo machache TU kwa leo,kila jambo linawezekana.

Mungu akukumbuke na wewe pia update mtu sahihi mutakayeelewana,na kukubaliana kutokubaliana kwa maslahi mapana ya family.
Kila la heri
 
Mi napenda sana mikakati ya kiuchumi ya wanawake wa kichaga aiseh!

Wakiitaka ndoa wanawekeza sana coz anajua akiipata ndoa amepata uwekezaji wa kudumu!wakifikia malengo then mnatafuta life kwa Kasi sana then mkishapata kazi inaanza mkuu!!

Ni ngumu sana kujua huyo mwanamke ni kwanini alikubali uishi nae majibu unayapata baada ya miaka mingi sana Tena sana!!ukishayapata inakua too late kufanya lolote halafu ye anakuambia kirahisi TU "wanawake wapo wengi nenda kaoe" baada ya kuona kapata muelekeo!kumbe wewe uliwekeza maisha rasmi na nafsi!!!

Sijui tufanya maamuzi gani hasa kwenye haha maisha aiseh!!
 
Wakuu Herini ya Pasaka na Poleni kwa msiba Wa Pope.

Kama nikivyowaahidi kwenye ule Uzi wangu wa Nyuma kama hujausoma au hukumbuki (Mkasa wa kweli, kuhusu visa vya kushangaza nilivyokutana navyo katika kazi za Udalali) sasa ni Rasmi wiki hii nitafunga ndoa Rasmi na Judi wang

Tumepitia mitihani na misukosuko mingi, Mungu ametubariki pia baraka za Rohoni na mwilini tuna Mengi ya Kushuhudia lakini ndoa yeti itakuwa ushuhuda mzuri pia.

Sasa Mungu anakwenda kutuunganisha upya na tutafanyika mwili mmoja.

Ni hayo machache TU kwa leo,kila jambo linawezekana.

Mungu akukumbuke na wewe pia update mtu sahihi mutakayeelewana,na kukubaliana kutokubaliana kwa maslahi mapana ya family.
Hii ni habari njema, nimefurahi sana.

Nilivunjika moyo kwa mapito uliyompitisha Judy, umeamua kumuoa nimefurahi mno!

Hongereni, Mungu aibariki ndoa yenu.
 
😹😹😹
Nijipinde kukaangiza halafu mlaji muda wa kula ananuna, Aaaah weee!
Mfyuuuuu 😹😹
Mwehu weeh, shenzy umenifanya nimecheka km chizi..!!

Si tulikubaliana akikataa kula unapakua unaongeza na nyama unakula mwenyewe au katiba imefanyiwa marekebisho?? 🤣
 
Hongera sana mkuu

Tusisikilize walimwengu hawana wema,

Hawana wema hao,

Tupatapo neno tulichuje lililo Jema liwe wetu,

Kama kujenga, mimi na wewe Tutunze ndoa yetu,

Tusisikilize walimwengu hawana wema,

Hawana wema hao,

Mpenzi wangu Lamomy 😍 hii nyimbo isipopigwa hamlii wala kula ndafu na nyama choma

Insha'Allah nasi vijana wa Dr am 4 real PhD tuoe anaanza huyu SECRETARY BIRD uoe & Intelligentbusinessman
 
Wakuu Herini ya Pasaka na Poleni kwa msiba Wa Pope.

Kama nikivyowaahidi kwenye ule Uzi wangu wa Nyuma kama hujausoma au hukumbuki (Mkasa wa kweli, kuhusu visa vya kushangaza nilivyokutana navyo katika kazi za Udalali) sasa ni Rasmi wiki hii nitafunga ndoa Rasmi na Judi wang

Tumepitia mitihani na misukosuko mingi, Mungu ametubariki pia baraka za Rohoni na mwilini tuna Mengi ya Kushuhudia lakini ndoa yeti itakuwa ushuhuda mzuri pia.

Sasa Mungu anakwenda kutuunganisha upya na tutafanyika mwili mmoja.

Ni hayo machache TU kwa leo,kila jambo linawezekana.

Mungu akukumbuke na wewe pia update mtu sahihi mutakayeelewana,na kukubaliana kutokubaliana kwa maslahi mapana ya family.
..lakini mlishakuwa mwili mmoja bila ruksa/unofficial
 
Mfyuuuuu 😹😹
Mwehu weeh, shenzy umenifanya nimecheka km chizi..!!

Si tulikubaliana akikataa kula unapakua unaongeza na nyama unakula mwenyewe au katiba imefanyiwa marekebisho?? 🤣

😁😁
Siwezi kula huku wa ubavu ananiangalia tu, mwe! Nitaonekana mchoyo ingawa kasusa kwa kupenda.

Hapo bado kulazana mzungu wa 4, wacha tu tuendelee kulala na kujikumbatia wenyewe…Huku tukiota ndoto za kukimbizwa.

Wengine roho zetu nyepesi.
 
Hongera sana mkuu

Tusisikilize walimwengu hawana wema,

Hawana wema hao,

Tupatapo neno tulichuje lililo Jema liwe wetu,

Kama kujenga, mimi na wewe Tutunze ndoa yetu,

Tusisikilize walimwengu hawana wema,

Hawana wema hao,

Mpenzi wangu Lamomy 😍 hii nyimbo isipopigwa hamlii wala kula ndafu na nyama choma

Insha'Allah nasi vijana wa Dr am 4 real PhD tuoe anaanza huyu SECRETARY BIRD uoe & Intelligentbusinessman
Secret bird na rais wetu wa sisi jobless pro max, wapi makutupola ,wapi balatola.

Kila lakheli TUCHUKUE JIMBO LETU ILO LAMONY
 
Wakuu Herini ya Pasaka na Poleni kwa msiba Wa Pope.

Kama nikivyowaahidi kwenye ule Uzi wangu wa Nyuma kama hujausoma au hukumbuki (Mkasa wa kweli, kuhusu visa vya kushangaza nilivyokutana navyo katika kazi za Udalali) sasa ni Rasmi wiki hii nitafunga ndoa Rasmi na Judi wang

Tumepitia mitihani na misukosuko mingi, Mungu ametubariki pia baraka za Rohoni na mwilini tuna Mengi ya Kushuhudia lakini ndoa yeti itakuwa ushuhuda mzuri pia.

Sasa Mungu anakwenda kutuunganisha upya na tutafanyika mwili mmoja.

Ni hayo machache TU kwa leo,kila jambo linawezekana.

Mungu akukumbuke na wewe pia update mtu sahihi mutakayeelewana,na kukubaliana kutokubaliana kwa maslahi mapana ya family.
Kama unayemuoa sio bikira na haujamtoa wewe bikira,haina haja ya kuutangazia umma,Baki nayo moyoni tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom