Hatimaye Jumamosi hii nafunga ndoa Rasmi

Hatimaye Jumamosi hii nafunga ndoa Rasmi

Hahaha!
Mimi bwana nakipenda kitanda na simu yangu.
Books❌
Movies❌
Listening to music, esp. Country music + R&B✅
Kupika sio sana, ila nikipika majirani kazi lazima waipate😁
Kula kwangu sio the first priority.

Nina uwezo wa kukaa ndani 2 months pasipo kuliona jua kama kila kitu kimo ndani. View attachment 3313554

Karibu juice ya tembele😁
Hahaha juice ya tembele😁, hebu nifundishe hiyo recipe.

I'm a big fan of music k pop, rnb, afro beat, gouyue, guofeng, and any music style as long as iko na vibe au Ina beba feelings fulani.

Kula kwangu ni first priority, mama yangu ni mpishi mzuri sana so ili kuwa lazima kuwa addicted na chakula.

SInywi bia, sivuti sigara au kilevi chochote.
 
Hahaha juice ya tembele😁, hebu nifundishe hiyo recipe.

I'm a big fan of music k pop, rnb, afro beat, gouyue, guofeng, and any music style as long as iko na vibe au Ina beba feelings fulani.

Kula kwangu ni first priority, mama yangu ni mpishi mzuri sana so ili kuwa lazima kuwa addicted na chakula.

SInywi bia, sivuti sigara au kilevi chochote.

Safi sana.

Tembele + ndimu + moss jelly+ sukari kiasi + vanilla syrup (Kama unapendelea)
 
Unaliblend bichi
Asante, nita jaribu kutengeneza.

Screenshot_20250424-001826_1.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom