Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,407
- 102,444
same here, hao wanga usha wahi waona?.Ok.
Mimi team bundi mkuu.
Nakuwa macho hadi mida ya wanga.
all in all, I like your vibe.
same here, hao wanga usha wahi waona?.Ok.
Mimi team bundi mkuu.
Nakuwa macho hadi mida ya wanga.
Hahaha!same here, hao wanga usha wahi waona?.
all in all, I like your vibe.
Mi Nisha wahi waona, samahani kwa kuuliza ila na detecti asili ya pwani je niko sahihi?Hahaha!
Wanga niwaonee wapi ndugu yangu, ni msemo tu ushatukaa.
Thanks.
😁😁😁Mi Nisha wahi waona, samahani kwa kuuliza ila na detecti asili ya pwani je niko sahihi?
wahuni hao wali tembelea sehemu fulani.😁😁😁
Uliwaona wapi mkuu?
Kwanini Pwani?
Sasa wewe uliwaonaje?wahuni hao wali tembelea sehemu fulani.
Kuna uandishi wa maneno nauona, ndio maana nahisi hivyo.
I still don't know, ila wali rudi wana chechemea. Japo nili shindwa ku move pia.Sasa wewe uliwaonaje?
Si wanasema huwezi kuwaona pasipo kutumia catalyst?
Ama imani yako iko juu?
Inawezekana ni uandishi tu.
Hahaha!I still don't know, ila wali rudi wana chechemea. Japo nili shindwa ku move pia.
sote tuli ganda Kama dakika 30 hivi
Ina wezekana means? Probably? Hahaha labda lakini.
Hahaha, I wish wange rudi niwa kamate.Hahaha!
Pole na hongera.
Hahaha!Hahaha, I wish wange rudi niwa kamate.
kweli wewe ni night owl, wewe ni introvert au extrovert?
hahahaHahaha!
Mimi kwakweli sijijui nipo kundi gani. Nafikiri watu wengine ndo wanaweza kuniobserve na kujua niko upande gani.
Hahaha!hahaha
Mimi Ina depend na mazingira, ila kiujumla mimi ni extro.
Bado niko hapa!
sio mbaya, maana hata nami Kuna muda napenda kuwa mwenyewe tu.(Ila Kuna saa Ina boa mno).Hahaha!
Sifa yangu kubwa ni observer.
Siyo mtu wa company.
Najumuika tu pale ninapokaribishwa, kama sijakaribishwa sisogei.
Ninauwezo wa kuishi mahali zaidi ya mwaka mmoja na nisifahamike.
Hahaha!sio mbaya, maana hata nami Kuna muda napenda kuwa mwenyewe tu.(Ila Kuna saa Ina boa mno).
Hahaha yaani Mwaka mmoja na usi fahamike, huo Sasa ndio u ghost wenyewe!
Why ukose wageni?, hata wana familia au Jamaa hawapo?Hahaha!
Kuna mahali bwana nimewahi kuishi, kila siku wenyeji wangu wananishangaa, sina mgeni anayekuja kunitembelea wala sikai nje😁.
😁😁😁😁Why ukose wageni?, hata wana familia au Jamaa hawapo?
wewe ni mtu wa aina gani?
Ehh una nishangaza kidogo, ila mtu wa nyumbani ni mzuri pia kwani nyumba I salama.😁😁😁😁
Mkuu umenifanya nicheke kwa sauti.
Nashangaza eeh?
Ugenini.
Hahaha!Ehh una nishangaza kidogo, ila mtu wa nyumbani ni mzuri pia kwani nyumba I salama.
Sasa kanisani au msikitini nako uli kosa hata rafiki?
hahaha, hii style yako Ina shangaza.Hahaha!
Kanisani kwenyewe ninaingia na kutoka.. 😁
hahaha, hii style yako Ina shangaza.
so we ni fat or slim, short or tall, mpole au mkali kidogo?