Hatimaye Boss kaoa

Hatimaye Boss kaoa

Eti wife material

Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching

Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu.

Anhaa Basi kama mm nilikua chaps ilale tutaona yatakayojiri kwa uyo malaya alieolewa atakuja kugongwa na wahuni
Mungu hawezi maombi ya kichawi kama hayo,usimjaribu Muumba.
 
You are so bitter. Namuelewa jamaa kwakweli. He made the right choice. Hakukuchezea, uliuchezea mwili wako wewe mwenyewe. Nakupa hii, ukiamua utameza au kutema, shaurilo.
You are bitter, full of vengeance, huna hekima, unaringia uzuri ushubwada, roho yako nyeusi sana, umejaa maigizo.

Nani kakwambia duniani hamna rejections. Kila siku tunaface rejections mia elfu na bado tunamooove. Hutaki kugrow-up, unatema sumu kwa kila mtu kwani tulikutuma kuja kuyaanika humu. Step up your game miss. Amekukataa, jirekebishe afu jifunze kutuliza nyau ili next time usiumie.

Umemlaani sana kaka wa watu, na mimi nazifuta hizo laana kwa Damu ya Yesu. Ndoa yake itabarikiwa, atalitumikia shauri la Mungu, atafanikiwa yeye na uzao wake, atakuwa kinara maisha yote. Angekua kaka yako anatamkiwa hivyo ungefurahi? Usijidide dii...husda si nzuri kwa mwanamke, zaidi utaonekana mwanga tu. Wanaume kazi mnayo kama wanawake ndo hawa!!!
Mtuombeeeeeeee
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.

Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Wewe ci uliambiwa kabisa kuwa ana mtu wake, why unalazimisha akuoe, pia wala hatapata kitu dada yangu usimwombee mabaya, tafuta mtu mwingine akuoe
 
Tatizo liliabzia hapa you forced yourself into him, hakuwahi kukupenda, always men dont have choices inapofika sualal la mapenzi kwa sababu mwanaume atakupenda jinsi unavomtendea mambo mazuri na kumfanya mfalme kwakoz so mwanamke mwenzako alikuzidi hapo tu

Soma vizuri uzi huu
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.

Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
MLIKUA MNACHEZEANA BANA.
 
jf kuna watu wanamajibu ya kejel mpaka unatamani majini umgekuwa nayo
 
Na wao waache kuwala wafanyakazi kwa kujifanya wapo na power
Athubutu kutengeneza mazingira ya kunifukuzisha kazi nitamdhalilisha dunia nzima itajua nina evidence
ukifanya hivo utakuj kupata pigo lingine na utakuja humu tena kulia ,pole sana kumpa hiyo vagina ukiwa na lengo la kuolewa ,kuolewa ni swala lingine kiujumla unaonekana hukuwa na character za kuolewa naye,Kaa kwa kutulia atakuja wa kufanana nae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom