Kama yako ilivokua ndefu Alaf huna muelekeo
Utakaa sawa tu usijali najua hali uliyo nayo....!!! Ila ni lazima ujipate kama unataka ndoa unless otherwise watakukula watasepa
Kama yako ilivokua ndefu Alaf huna muelekeo
Hulali tuu.Polesana
Mungu hawezi maombi ya kichawi kama hayo,usimjaribu Muumba.Eti wife material
Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching
Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu.
Anhaa Basi kama mm nilikua chaps ilale tutaona yatakayojiri kwa uyo malaya alieolewa atakuja kugongwa na wahuni
Wala sio maajabu,kwenye vikao vyetu wanaume tushakubaliana kuwa hatuli samaki wa mapamboNa haya ndio moja ya maajabu ya Mungu.
Kenge wa bluu tu haoWanawake huwa wanaonaga wao ndio wenye muda.
MtuombeeeeeeeeYou are so bitter. Namuelewa jamaa kwakweli. He made the right choice. Hakukuchezea, uliuchezea mwili wako wewe mwenyewe. Nakupa hii, ukiamua utameza au kutema, shaurilo.
You are bitter, full of vengeance, huna hekima, unaringia uzuri ushubwada, roho yako nyeusi sana, umejaa maigizo.
Nani kakwambia duniani hamna rejections. Kila siku tunaface rejections mia elfu na bado tunamooove. Hutaki kugrow-up, unatema sumu kwa kila mtu kwani tulikutuma kuja kuyaanika humu. Step up your game miss. Amekukataa, jirekebishe afu jifunze kutuliza nyau ili next time usiumie.
Umemlaani sana kaka wa watu, na mimi nazifuta hizo laana kwa Damu ya Yesu. Ndoa yake itabarikiwa, atalitumikia shauri la Mungu, atafanikiwa yeye na uzao wake, atakuwa kinara maisha yote. Angekua kaka yako anatamkiwa hivyo ungefurahi? Usijidide dii...husda si nzuri kwa mwanamke, zaidi utaonekana mwanga tu. Wanaume kazi mnayo kama wanawake ndo hawa!!!
Aliwajibu michezo ni afya???hahahahahTulikuambia anakuchezea ukasema michezo ni afya leo unakuja kulalamika huku
Wewe ci uliambiwa kabisa kuwa ana mtu wake, why unalazimisha akuoe, pia wala hatapata kitu dada yangu usimwombee mabaya, tafuta mtu mwingine akuoeHatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.
Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea![]()
MLIKUA MNACHEZEANA BANA.Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.
Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea![]()
ukifanya hivo utakuj kupata pigo lingine na utakuja humu tena kulia ,pole sana kumpa hiyo vagina ukiwa na lengo la kuolewa ,kuolewa ni swala lingine kiujumla unaonekana hukuwa na character za kuolewa naye,Kaa kwa kutulia atakuja wa kufanana naeNa wao waache kuwala wafanyakazi kwa kujifanya wapo na power
Athubutu kutengeneza mazingira ya kunifukuzisha kazi nitamdhalilisha dunia nzima itajua nina evidence
1. Wakati anakuchezea, wewe ulikuwa wapi?
2. Wakati anakuchezea, wewe hukumchezea?
3. Wakati mnaanza mahusiano, ulimweleza matarajio yako kwenye mahusiano hayo?
I hate that word kuchezewa seriously na akili zako ulikua unachezewa or mlikua mnalizishana tamaa za miili yenu hebu amkeni ukiona hakuna muelekeokatafute mwingine or Kaa pembeni tafuta hela
Hicho ambacho huyo mwanamke wake anakikosa, ulimwonyesha kwamba akienda huko atakosa hiki??
Ndoa si kwakila mmoja nyie wengine ni changamsha genge kama kina MBWIGA
ova
Dawa ya vicheche ni kuvichenchede tu
Umemchamba vizuri, safi.Wewe Ndio utulize kijoleo lako unalowapa kila mwanamke anaepita mbele yako mmxxieeww