kao la amani
JF-Expert Member
- Mar 23, 2023
- 388
- 586
Ata kukula soonNikimuona kazini natamani nimhug ila najizuia japo kaniudhi kupita maelezo
Ata kukula soonNikimuona kazini natamani nimhug ila najizuia japo kaniudhi kupita maelezo
Karma is realNili muuliza hili swali, alimpiga chini jamaa yake akamtongoza boss. Sasa kamtongoza mdogo wa boss hii itakuwa karma
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.
Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea![]()
Pole inawezekana lipo jambo kubwa umeepushwa nalo.Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.
Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea![]()
Wanaume hatuolei matako na minyanduano tu.Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.
Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea![]()
Mmechezeana au amekuchezea?Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.
Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea![]()
Kwa akili hizo bora kaoa mwingine sio weweHatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.
Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea![]()
KabisaWabaya kivipi madame?
Au ni kweli SURA SIYO ROHO?

















