Hatimaye Boss kaoa

Hatimaye Boss kaoa

Madam, why are you so interested in someone else's husband? Come and see me, darling, I've got it all: financial freedom, education, good looks! I'm 27 and I'm interested in your mailbox to get to know you.

Nb, I don't date prostitutes.
 
Move on baby girl, jitreat poa,nenda vacation,utamsahau polepole tu.
Sorry.
 
Hii inaitwa kuliwa na kuachwa kwa ahadi ya kuolewa, kitumbua kishaingia mchanga tayari, wateja ngumu kuwapata
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.

Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea

Namna hii kweli hlf huyu Mwanaume akuoe kweli?
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.

Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Pole inawezekana lipo jambo kubwa umeepushwa nalo.
Vumilia maumivu kwa sasa lakini utasahau na utaanza upya kwa furaha kubwa tu.
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.

Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Wanaume hatuolei matako na minyanduano tu.
Kwenye kuoa tunachagua atakayekua mama bora kwa watoto na familia.
Wewe bila shaka kaona una sura na tako lakini kwingine 0
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.

Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Mmechezeana au amekuchezea?
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.

Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Kwa akili hizo bora kaoa mwingine sio wewe
 
Kojoa kalale. Ukiona hivyo una shida kubwa sanaaaaaaaaaaaaaa


Jichunguze.


Karibu dunia ya Wasimbe. Na mwanaume anayekuja utachapika no ndoa ukileta zakuleta tunakuzalisha unakuwa Aged Single Mother pro maxxxxx .....


Endelea kuvaa Mawigi nakufuga kucha ndefu kama jini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom