Hatimaye Boss kaoa

Hatimaye Boss kaoa

Eti wife material
emoji24.png
emoji23.png
emoji23.png

Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching
emoji28.png
emoji23.png
emoji23.png

Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu
Mrembo, afadhali hayo maombi yawe ya kumuomba Mungu upate wa kwako.
Usipoteze muda wako kulilia maziwa yaliyokwisha mwagika...
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Lipo tatizo kwako. Unafikiri kwa nini amuoe mbaya,akuache wewe. WANAWAKE WA SIKU HIZI UJUAJI MWINGI. Na mtatumika sana pumbavu sana. Na Hakuna the karma yoyote itamkuta mwamba. Amekosea tu angekupiga na mimba kabisa kwanza ndio atangaze ndoa na mwingine. Kenge nyie
 
Dua la kuku halimkuti mwewe kamwe, ww ulikuwa nae ki maslahi tu, kwann u date boss wako? Karma from bitch is a big joke... jiandae kuendelea kuwa mchepuko wake tu, hiyo ndio kazi yako
Yeye ndio kapigwa karma alimkataa mfanya kazi asiye na cheo akaliwa na boss
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom