Hatimaye Boss kaoa

Hatimaye Boss kaoa

Eti wife material

Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching

Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu.

Anhaa Basi kama mm nilikua chaps ilale tutaona yatakayojiri kwa uyo malaya alieolewa atakuja kugongwa na wahuni
Hii post inathibitisha wewe sio mtu mwema, na hufai kuolewa.
 
Mleta mada njoo PM nikuwowe.
Uwe unakula pensheni + marupurupu ya kitaifa..))
 
Eti wife material

Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching

Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu.

Anhaa Basi kama mm nilikua chaps ilale tutaona yatakayojiri kwa uyo malaya alieolewa atakuja kugongwa na wahuni
Trust me huyo hakuwa wako kata mazoea yeyote na boss wako , kuwa busy na mambo yako jitathimini ujuwe ni mwanaume gani unataka? Ukisha jua hilo jiweke katika mazingira ya huyo mwanaume unae mtaka atakuja kwako mwenyewe.
Nb sio vizuri kumpenda boss wako
 
Ndiyo kwanza mwezi wa 2 dada. Hakika dada yangu ume uanza mwaka vibaya.
Umechunda Dada.
Ila unajua nini,kasafishe nyota....Tatizo Nyota.
NITAFUTE
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.

Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
 
huna X-factor na pia you are not '' the woman of substance''
jamaa nilimuuliza swali kwa nini kakuacha akanijib hivyo....na ni kweli mate hufai kuwa mke wake...
 
Eti wife material

Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching

Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu.

Anhaa Basi kama mm nilikua chaps ilale tutaona yatakayojiri kwa uyo malaya alieolewa atakuja kugongwa na wahuni
Labda ukaroge kenge wewe. Hakuna maombi MUNGU anayajibu ya kumuombea mwingine mabaya. MUNGU sio wewe. MUNGU anajibu kwa namna ya ajabu sana. Ukikazana kuombea wengine mabaya utapoteza muda tu. Ukisamehe na kusahau kabisa lakini,narudia lakini iwe umeumizwa kweli kwa Jambo mliloahidiana. Otherwise utapoteza tu muda
 
😂😂😂😂

Sema haya mambo mda mwngn.... unaweza date na wadada wazuri wenye figure kali na wapo vzr kichwani ila ipo siku unatulizwa na mdada wa kawaida sana
Wadada wa kawaida silaha yao inakuwa mauno. Warembo silaha yao inakuwa uzuri. Sasa mwamba akikatikiwa akalia kiume anafanya maamuzi ya kushangaza.
 
Labda ukaroge kenge wewe. Hakuna maombi MUNGU anayajibu ya kumuombea mwingine mabaya. MUNGU sio wewe. MUNGU anajibu kwa namna ya ajabu sana. Ukikazana kuombea wengine mabaya utapoteza muda tu. Ukisamehe na kusahau kabisa lakini,narudia lakini iwe umeumizwa kweli kwa Jambo mliloahidiana. Otherwise utapoteza tu muda
Huyo kicheche hafai hata kWa kulumangia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom