Strong and Fearless
JF-Expert Member
- Apr 24, 2017
- 890
- 2,203
- Thread starter
- #241
What if wewe ndio ulikua unampotezea muda?
Yy Ndio kanipotezea
Yy ameoa mm nimebaki depressed
Sasa mdogo wake ananiliwaza
What if wewe ndio ulikua unampotezea muda?
Hii post inathibitisha wewe sio mtu mwema, na hufai kuolewa.Eti wife material
Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching
Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu.
Anhaa Basi kama mm nilikua chaps ilale tutaona yatakayojiri kwa uyo malaya alieolewa atakuja kugongwa na wahuni
Mungu hawezi maombi ya kichawi kama hayo,usimjaribu Muumba.
Hii post inathibitisha wewe sio mtu mwema, na hufai kuolewa.
Kwa nini unamkasirikia alieolewa? Acha roho mbaya otherwise hutaolewa.Nitaolewa na mdogo wake boss mtu mwema
Usipanic mamdogoNa utakae muoa tafanywa changamsha genge
Kabisa aiseeKama ww demu wako anavogongwa huko ovyo ata na marafiki zako bila ww kujua
psychologically ww ndio unaumia zaidi kuliko yeye Kwa jinsi unavyojielezea and you want to just show him ila ninauhakika akijaomba game utampatiaKama ww demu wako anavogongwa huko ovyo ata na marafiki zako bila ww kujua
Kwahiyo unamkomoa kwa kunyanduliwa na mdogo wake?Nilimpa kila kitu
Lakini kaamua kunifanyia ushenzi
Sasa ataulipa huo ushenzi
Nimeanza mahusiano na mdogo wake
Na utamegwa sanaYy Ndio kanipotezea
Yy ameoa mm nimebaki depressed
Sasa mdogo wake ananiliwaza
Trust me huyo hakuwa wako kata mazoea yeyote na boss wako , kuwa busy na mambo yako jitathimini ujuwe ni mwanaume gani unataka? Ukisha jua hilo jiweke katika mazingira ya huyo mwanaume unae mtaka atakuja kwako mwenyewe.Eti wife material
Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching
Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu.
Anhaa Basi kama mm nilikua chaps ilale tutaona yatakayojiri kwa uyo malaya alieolewa atakuja kugongwa na wahuni
Umeongelea " Kidimbwi"..pengine tatizo la kutokuolewa kwake lilianzia hapa.Mapenzi huisha, ila upendo au pendo haliishi. Kumbe huko kidimbwi ndipo mnapotafutiana hatari sana.
Sasa kutoka na mdogo wake unahisi unamkomoa😂😂Nilimpa kila kitu
Lakini kaamua kunifanyia ushenzi
Sasa ataulipa huo ushenzi
Nimeanza mahusiano na mdogo wake
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.
Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea![]()
Labda ukaroge kenge wewe. Hakuna maombi MUNGU anayajibu ya kumuombea mwingine mabaya. MUNGU sio wewe. MUNGU anajibu kwa namna ya ajabu sana. Ukikazana kuombea wengine mabaya utapoteza muda tu. Ukisamehe na kusahau kabisa lakini,narudia lakini iwe umeumizwa kweli kwa Jambo mliloahidiana. Otherwise utapoteza tu mudaEti wife material
Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching
Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu.
Anhaa Basi kama mm nilikua chaps ilale tutaona yatakayojiri kwa uyo malaya alieolewa atakuja kugongwa na wahuni
Wadada wa kawaida silaha yao inakuwa mauno. Warembo silaha yao inakuwa uzuri. Sasa mwamba akikatikiwa akalia kiume anafanya maamuzi ya kushangaza.😂😂😂😂
Sema haya mambo mda mwngn.... unaweza date na wadada wazuri wenye figure kali na wapo vzr kichwani ila ipo siku unatulizwa na mdada wa kawaida sana
Huyo kicheche hafai hata kWa kulumangiaLabda ukaroge kenge wewe. Hakuna maombi MUNGU anayajibu ya kumuombea mwingine mabaya. MUNGU sio wewe. MUNGU anajibu kwa namna ya ajabu sana. Ukikazana kuombea wengine mabaya utapoteza muda tu. Ukisamehe na kusahau kabisa lakini,narudia lakini iwe umeumizwa kweli kwa Jambo mliloahidiana. Otherwise utapoteza tu muda