Hatimaye Boss kaoa

Hatimaye Boss kaoa

😂😂😂😂

Sema haya mambo mda mwngn.... unaweza date na wadada wazuri wenye figure kali na wapo vzr kichwani ila ipo siku unatulizwa na mdada wa kawaida sana
kawaida wanaume tunatafuta mama bora kwaajili ya watoto wetu.... hatuangalii uzuri wa sura umbo au elimu ya darasani.....

mwanamke mwenye akili ni mali kwa watoto wako
 
kunipotezea muda wangu na kunichezea
emoji35.png
emoji35.png
emoji35.png
Ulijichezea we mwenyewe.
 
Eti wife material
Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching
Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu
Anhaa Basi kama mm nilikua chaps ilale tutaona yatakayojiri kwa uyo malaya alieolewa atakuja kugongwa na wahuni
We nae,bwana umtongoze mwenyewe Leo umtukane dada wa watu aliyetongozwa eti Malaya uko sawa huko kichwani kwako?
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Binti mmoja alianza kuropoka baada ya kuonja pombe
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Dua la kuku halimkuti mwewe kamwe, ww ulikuwa nae ki maslahi tu, kwann u date boss wako? Karma from bitch is a big joke... jiandae kuendelea kuwa mchepuko wake tu, hiyo ndio kazi yako
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Amekugegeda kaichoka kahamua kuchukua chombo kingine na kufunga naye ndoa.
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Stop being stupid
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom