Strong and Fearless
JF-Expert Member
- Apr 24, 2017
- 890
- 2,203
- Thread starter
- #21
Kakupotezea muda?
Yes
Muda huo wote si angesema mm sikutaki ila kaendelea kunichezea Sasa atakipata kwenye ndoa
Kakupotezea muda?
Hakuna madam hapo, mkulungwa huyo.Be strong Madam.
He is no more yours. Utampata wako.
Kabda uroge maana hamna dogo nyie shetani rafiki yenuEti wife material
Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching
Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu
Anhaa Basi kama mm nilikua chaps ilale tutaona yatakayojiri kwa uyo malaya alieolewa atakuja kugongwa na wahuni
Huo ndo ujasiri sasa, na ndoa yaweza kuwa mbingu au jehanamu mom
Good morning to the sexiest woman in the whole wide World😘Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kua nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, uyo mwanamke mwenyewe ata sijui why did he choose her over me anyways kuoa Au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakua banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea![]()
😂😂😂😂 Akikujibu nitaggKupitia comment hii nimegundua wewe ni DUME. Huu ni muandiko wa kiume kabisa.
Sasa hapa kuna mawili, aidha wewe ni punga kupelekea boss kuamua kuoa mwanamke ama wewe ni kijana wa ovyo unaetafuta attention ya kipumbavu kwa kuanzisha uzi kama mwanamke. Ila wewe ni mwanaume nina yakini pasi na shaka.
Strong and Fearless kawa weak and cowardly hana dira tena.
Wala sio kuoa kama fashion, unajikuta tu una amani nae unaridhika huna wasi wasi




Kumbe ulitaka uolewe uingie mbinguni 😳?..Sawa kwani kuolewa Ndio ticket ya kuingia mbinguni eh![]()
Be strong Madam.
He is no more yours. Utampata wako.
Why uko so bitter?. Mungu sio Athuman, huwa kuna maombi huyatupilia mbali. Wish them blessings, never curse. Wakwako yupo, just hold the line.Eti wife material
Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching
Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu
Anhaa Basi kama mm nilikua chaps ilale tutaona yatakayojiri kwa uyo malaya alieolewa atakuja kugongwa na wahuni
kukuchezea ?!
Huu uzi ni serious... ila tuliwaambieje humu kuhusu mabosi wenu
Mapenzi huisha, ila upendo au pendo haliishi. Kumbe huko kidimbwi ndipo mnapotafutiana hatari sana.Wait until miaka 5 ipite Ndio utajua hujui
Mapenzi huisha dear yanabaki mazoea unaanza Sasa kunengeneka kwenda kidimbwi kutafuta wengine![]()
Si mnajipendekeza wenyewe na kujitembeza tembezaNa wao waache kuwala wafanyakazi kwa kujifanya wapo na power
Athubutu kutengeneza mazingira ya kunifukuzisha kazi nitamdhalilisha dunia nzima itajua nina evidence