1. Tuliowapenda sana, hawajawahi kutupenda.Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea![]()
MWANAMKE MZURI HAJAWAHI KUACHWA.Itakuwa wewe sio wife material.
Ila kwa mwandiko wako unaonekana ni mkorofi sana, halafu una roho mbaya hivi, halafu kama una kiburi cha uzuri lazima utakuwa binti mzuri mwenye rangi nyeupe/tako kubwa. Wanawake wazuri wana kiburi pro max. Halafu wakiachwa ,kisha mwanaume akachukua mwanamke mwengine mwenye uzuri wa kawaida au mwanamke mbovubovu, lazima aumie mno.
Hautaachwa na bosi yaani hapo utabakia kuwa mchepuko rasmi wa Boss 🤣. Ngoja upepo upoe tu.
Kwa hali hii ndio maana jamaa alifanya maamuzi magumu kwenda kuoa mwanamke mwingine.Eti wife material
Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching
Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu
Anhaa Basi kama mm nilikua chaps ilale tutaona yatakayojiri kwa uyo malaya alieolewa atakuja kugongwa na wahuni
Kwa statement hii! Huyo mwanaume utamrejesha mikononi baada ya mwezi mmoja tu. Nawajuwa wanawake kama wewe. Akiamua anakubadili mwanaume. Kufunga ndoa si warrant ya kumtoka mmwanamke aliyekamia, hasa kama hakukuwa na kosa la maana la kuwatenganisha kama uzinzi.Eti wife material
Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching
Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu
Anhaa Basi kama mm nilikua chaps ilale tutaona yatakayojiri kwa uyo malaya alieolewa atakuja kugongwa na wahuni
No sir! The boy is still hers. Huwajui wanawake kama huyu Strong and Fearless ni hatari, atafanya kila mbinu ammiliki tena. YalitupataBe strong Madam.
He is no more yours. Utampata wako.
😂😂😂😂Pole tuliza kikojoleo ikoi nenda ktk uzi wa wasimbe 30+
Aiseee, this is the part where i don’t understand women, anyways, sio kwa ubaya ila boss alikuambia ukweli from the beggining, wewe ndio uliwish kusex nae, your wish came true sasa unalalamika tena ? How comes ?Nimedondoka kwenye penzi zito na bosi wangu
The first day nimeanza kazi I knew he was the right guy for me, he is smart, intelligent, wise and successful. Yaani I couldn’t help myself nikamwambia ukweli kuwa am in love with you boss. He smiled and akanambia that will never work out, I was really hurt. But cha kushangaza tangu nimemwambia...www.jamiiforums.com
hamna maombi ya namna hii yanajibiwa, pole sanaEti wife material
Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching
Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu
Anhaa Basi kama mm nilikua chaps ilale tutaona yatakayojiri kwa uyo malaya alieolewa atakuja kugongwa na wahuni
Eti wife material
Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching
Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu
Anhaa Basi kama mm nilikua chaps ilale tutaona yatakayojiri kwa uyo malaya alieolewa atakuja kugongwa na wahuni
Ndiyo huyuWait until miaka 5 ipite Ndio utajua hujui
Mapenzi huisha dear yanabaki mazoea unaanza Sasa kunengeneka kwenda kidimbwi kutafuta wengine![]()
Sure...alitusimulia mwenyewe kwenye Uzi wake mwingine,alivyojitupa Kwa boss
So nikamuuliza are you in a relationship, then he said yes I am tena serious one and soon I will get married. Nikawaambia hiyo sio shida I love you to the extent kwamba am okay with it and I won’t ruin your relationship, he is just blushing and asking me kweli upo single? Namjibu ndio but haamini.Ndio zenu izo ili mtule Alaf mnajufanya kuoa wengine
Mwaka huu tutakomesha vitendo hivyo
You can’t get away with everything
MAJUTO NI LAZIMA
Noma sanaMWANAMKE MZURI HAJAWAHI KUACHWA.
KUNA MADHAIFU AMBAYO MWANADAMU ANAYO NA HAJITAMBUI.
YEYE HUBAKI KWENYE UZURI WA SURA KUMBE UPANDE MWINGINE HAFAI KITU
Alisikika monde arabeNoma sana