Hatimaye Boss kaoa

Hatimaye Boss kaoa

Sasa hao 100 uliowachezea karma yao lazima ulipe don’t think you can get away with everything
Hoops mtu aneshindwa kula analia kila usiku kwasababu yako utalipa tu tena hapa hapa duniani either kwako Au Liza I chako mpk utubu
Those were my options dear, I'm not part of them

As I have said earlier, Men are there outside waiting for a Wife material, can be you, if you change.

Babu yenu nimekaa pale nasubiria mniletee Wajukuu wa kucheza nao 🤗

Wishing you all the best
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Alikuchezeaje kwanza,na huo muda aliokupotezea ukiwa wapi?
 
Eti wife material
Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching
Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu
Anhaa Basi kama mm nilikua chaps ilale tutaona yatakayojiri kwa uyo malaya alieolewa atakuja kugongwa na wahuni
Kakubakishia marinda yako kweli?
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Ebu njoo PM tuone nini cha kufanya😋
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Ndio tatizo la mapenzi kazini, sasa Wala hautafanya kazi kwa raha
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Na bado atakuomba radhi utaelewa tu na ataendelea kukugonga kama kawaida. Sasa hv anasubiria upepo utulie tu. Time Will tell. Utakua mchepuko wake pro-max
 
pole sana ila kaa ujue kuwa wanaume hatuoi kwa factor moja peke yake ya uzuri coz uzuri unaweza ukapotea at any time,tunaangalia ni vigezo vingine ,muhimu kwako kwa sasa ni muombe mungu akupe subra na utapata wa kwako ambae nae atakuja kukuoa ila usilazimishe awe boss kila mtu amepangiwa na mungu wa kuendana nae
 
Pole sana, tulia na tuliza akili usifanye papara kutafuta mwingine utaangukia gharasa lingine, muombe Mungu akukutanishe na aliye sahihi mpaka ukute kukutana na huyo chotampira
 
You are so bitter. Namuelewa jamaa kwakweli. He made the right choice. Hakukuchezea, uliuchezea mwili wako wewe mwenyewe. Nakupa hii, ukiamua utameza au kutema, shaurilo.
You are bitter, full of vengeance, huna hekima, unaringia uzuri ushubwada, roho yako nyeusi sana, umejaa maigizo.

Nani kakwambia duniani hamna rejections. Kila siku tunaface rejections mia elfu na bado tunamooove. Hutaki kugrow-up, unatema sumu kwa kila mtu kwani tulikutuma kuja kuyaanika humu. Step up your game miss. Amekukataa, jirekebishe afu jifunze kutuliza nyau ili next time usiumie.

Umemlaani sana kaka wa watu, na mimi nazifuta hizo laana kwa Damu ya Yesu. Ndoa yake itabarikiwa, atalitumikia shauri la Mungu, atafanikiwa yeye na uzao wake, atakuwa kinara maisha yote. Angekua kaka yako anatamkiwa hivyo ungefurahi? Usijidide dii...husda si nzuri kwa mwanamke, zaidi utaonekana mwanga tu. Wanaume kazi mnayo kama wanawake ndo hawa!!!
 
You are so bitter. Namuelewa jamaa kwakweli. He made the right choice. Hakukuchezea, uliuchezea mwili wako wewe mwenyewe. Nakupa hii, ukiamua utameza au kutema, shaurilo.
You are bitter, full of vengeance, huna hekima, unaringia uzuri ushubwada, roho yako nyeusi sana, umejaa maigizo.

Nani kakwambia duniani hamna rejections. Kila siku tunaface rejections mia elfu na bado tunamooove. Hutaki kugrow-up, unatema sumu kwa kila mtu kwani tulikutuma kuja kuyaanika humu. Step up your game miss. Amekukataa, jirekebishe afu jifunze kutuliza nyau ili next time usiumie.

Umemlaani sana kaka wa watu, na mimi nazifuta hizo laana kwa Damu ya Yesu. Ndoa yake itabarikiwa, atalitumikia shauri la Mungu, atafanikiwa yeye na uzao wake, atakuwa kinara maisha yote. Angekua kaka yako anatamkiwa hivyo ungefurahi? Usijidide dii...husda si nzuri kwa mwanamke, zaidi utaonekana mwanga tu. Wanaume kazi mnayo kama wanawake ndo hawa!!!
Asante mama Rose Shaboka...🤣🤣🤣
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Chakula ya wahuni kitulize.

.........Malaya kazi yenu ni kutumika sio kuolewa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom