Hatimaye Boss kaoa

Hatimaye Boss kaoa

yani we ni kiaziii!
Mtu alipwe laana kwa kuoa?
Ulitumwa umvulie nguo?
mxxxxiiie!
Ona hii

....So nikamuuliza are you in a relationship, then he said yes I am tena serious one and soon I will get married. Nikawaambia hiyo sio shida I love you to the extent kwamba am okay with it and I won’t ruin your relationship, he is just blushing and asking me kweli upo single? Namjibu ndio but haamini.
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Kumbe ulijitongozesha na aka kwambia wazi ana mahusiano, umeingilia mahusiano ya watu halafu unakuja kutafuta huruma huku. Shame on you,na kitakuramba.
 
Ona hii

....So nikamuuliza are you in a relationship, then he said yes I am tena serious one and soon I will get married. Nikawaambia hiyo sio shida I love you to the extent kwamba am okay with it and I won’t ruin your relationship, he is just blushing and asking me kweli upo single? Namjibu ndio but haamini.
yuko too obssessed!
 
Enh

Yani sijui nianzishe consultancy ya mapenzi kwa wanawake??! Labda tukiwajuza yale nasi tumepitia enzi hizo itasaidia.

Kasema hataki uhusiano, ukasema twende hivyo hivyo !

How old are you? Pole yangu hata sikupi.
Au ni story changamsha genge?

Below 25 walau nakuelewa, above that...uchapwe!!!
aliambiwa kabisa , karibu naoa!
it wont work!
niko na relationship serious!

HAKUELEWA NN? anakuja hapa na sijui malipo sijui nn, mxxxie!
 
So nikamuuliza are you in a relationship, then he said yes I am tena serious one and soon I will get married. Nikawaambia hiyo sio shida I love you to the extent kwamba am okay with it and I won’t ruin your relationship, he is just blushing and asking me kweli upo single? Namjibu ndio but haamini.

Strong and Fearless unakumbuka haya maneno?
ahahahhaahhahahha
Asante Kwa kumkumbusha...
 
Ona hii

....So nikamuuliza are you in a relationship, then he said yes I am tena serious one and soon I will get married. Nikawaambia hiyo sio shida I love you to the extent kwamba am okay

Ona hii

....So nikamuuliza are you in a relationship, then he said yes I am tena serious one and soon I will get married. Nikawaambia hiyo sio shida I love you to the extent kwamba am okay with it and I won’t ruin your relationship, he is just blushing and asking me kweli upo single? Namjibu ndio but haamini.
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa! Kwa Kadri miaka inavyoenda na uwezo wa kupambanua mambo unapungua kabsa; hasa kwa mtu mzinzi ufahamu wake hata kama amesoma n safari, shetani hupofusha fikra zao! Uliongozwa na pepo na wala sio hisia, na usipotubu na kuomba nguvu ya MUNGU akunasue huko ukofika utapuyanga sana mdogo wangu! Mungu akupe ufahamu wa kuona dhambi yako na kuijutia!
 
Sas si ushukuru hujaolewa? Kama mapenzi yanaisha...mbona sasa kama uko destructed...

Hayajakukuta Ndio maana unakua hodari kuona wenzako hawajielewi
I’m a yasikukute
Hayanaga mjanja haya
Endeleeni kucomment wajuani na mahodari
Malaika watu wa jamii forum
 
wewe ulimkubalia ili upate kazi ulitegemea nini nafikiri hio ndio ilikuwa clue kwenye kichwa chake anyway ndivyo maisha yalivyo usidate na mtu mlioko nae office moja

Ww mm nlipata kazi kwa elimu yangu, experience na skills
Uyo mbwa nlikutana nae hapo ofisini
Na anitishi chochote na kunifukuza hawezi atadhalilika hadi ukioa wake watashangaa Ndio maana yy mwenyewe kakaa kimya
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
sasa wewe ndio ulimchezea ndio imebadilisha kibao
 
Asante kwa feedback Mungu
Niombaje Mungu ili nijibiwe Mungu mkuu
Omba Toba na Rehema mrembo...

Omba hivi...

Mungu nirehemu Mimi, nimekutenda dhambi nyingi unataja ya zinaa na nyingine unazozikumbuka, naomba Toba na Rehema, unisafishe dhambi zangu na za ukoo wangu upande wa baba na mama...

Kwa damu ya YESU niwe safi...

Ukimaliza Toba, ukahisi amani moyoni, Anza kuomba mume wako...

Soma Zaburi 51

Omba kwa kumaanisha...
 
Washauri tulishauri, ukapuuza.

Tulikwambia mwanaume hatongozwi, hata kumuonesha tu signs kua unampenda kabla hajakutongoza usijaribu kabisa. Utatumiwa na kuachwa.

Pole sana slayqueen.
Na huyo boss wako atarudi kwako atasema haelewi imekuaje kamuoa yule mwanamke, umemzidi kila kitu anahisi amerogwa, na wewe utataka kumkomesha mwanamke mwenzio (mkewe), utamkubali.
Jamaa ataendelea kukutembezea mbupu kama kawa.

Vijana wa hovyo wanawafaidi sana wanawake kama wewe 😂😂😂
 
Ww mm nlipata kazi kwa elimu yangu, experience na skills
Uyo mbwa nlikutana nae hapo ofisini
Na anitishi chochote na kunifukuza hawezi atadhalilika hadi ukioa wake watashangaa Ndio maana yy mwenyewe kakaa kimya
Unamoyo wa chuma mamy, Sasa unafanyaje kazi kipindi hiki ambacho wafanyakazi wenzio wote wanakutolea macho...
 
aliambiwa kabisa , karibu naoa!
it wont work!
niko na relationship serious!

HAKUELEWA NN? anakuja hapa na sijui malipo sijui nn, mxxxie!
Wengi wapo hivyo! Mnakubaliana lakini mwenzako yupo na yake. Inaboa ila inaonesha alivyo, hatamuacha na akiwa na akili, ataivunja hiyo ndoa. Cheza na nyie, mwanamke akihitaji kitu anakipata tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom