Hatimaye Boss kaoa

Hatimaye Boss kaoa

Nyie wanaume mnavyowala ovyo na kuwazalisha wanawake ovyo mnadhani nani victim mkubwa hapo ni mwanamke
Ndio maana maisha yenu Bado mnahangaika tu na Bado mpaka kua lishuke liwafikie utosini
relax, haujapoteza kitu mrembo. Jiamini thamani yako ipo pale pale kuachwa na boss haujapungukiwa chochote, trust me huenda hata Mungu KAKUEPUSHA.

najua ni ngumu ila try to relax.
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kua nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, uyo mwanamke mwenyewe ata sijui why did he choose her over me anyways kuoa Au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakua banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
1. Wakati anakuchezea, wewe ulikuwa wapi?
2. Wakati anakuchezea, wewe hukumchezea?
3. Wakati mnaanza mahusiano, ulimweleza matarajio yako kwenye mahusiano hayo?
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kua nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, uyo mwanamke mwenyewe ata sijui why did he choose her over me anyways kuoa Au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakua banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
I hate that word kuchezewa seriously na akili zako ulikua unachezewa or mlikua mnalizishana tamaa za miili yenu hebu amkeni ukiona hakuna muelekeokatafute mwingine or Kaa pembeni tafuta hela
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kua nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, uyo mwanamke mwenyewe ata sijui why did he choose her over me anyways kuoa Au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakua banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Dawa ya vicheche ni kuvichenchede tu
 
Hivi kumbe ule Uzi wako ilikuwa taarifa ya kweli? Nilidhani ilikuwa ni changamsha kijiwe kama tulivyokuwa tumezoea humu

Anyways, Sisi Wanaume tunaweza kudate na Wanawake hata 3 ama 100 lakini tukachagua mmoja wa kuweza kukaa naye kutokana na element Fulani Fulani ambazo tunakuwa tumeziona kwa huyo binti.

Na huna sababu ya kujilaumu eti kupoteza muda wa kuwa pamoja naye, muhimu ni kuwa you had good time.

Anza kujifunza huyo Mwanamke mbaya aliyeolewa naye kama ulivyosema hapa ana nini cha ziada kuhusu tabia n.k ili nawe uweze kujifunza na ujirekebishe hatimaye upate Mume wako pia.

Usihangaike kuchagua sana, hata akija mzabzab kukutolea mahari mpokee hivyo hivyo muanze maisha ya kubebishana na valentine hii

Sasa hao 100 uliowachezea karma yao lazima ulipe don’t think you can get away with everything
Hoops mtu aneshindwa kula analia kila usiku kwasababu yako utalipa tu tena hapa hapa duniani either kwako Au Liza I chako mpk utubu
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kua nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, uyo mwanamke mwenyewe ata sijui why did he choose her over me anyways kuoa Au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakua banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea

Punguza makasiriko kisichoridhiki hakiliki,njoo ni kuwowe au wewe ni singo mama?
 
Mbaazi akikosa maua ..…………..

Kuliko kuleta lawama huku bora ujirekebishe au umuulize mapungufu uliyo nayo akwambie utafute mwingine! Bila hivyo watajipigia sana wahuni!
Ndoa sio kwa kila mwanamke ila kwa mwanaume ndoa kwake ni muhimu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom