Hatimae Pedeshee Ndama akiri kutakatisha fedha

Hatimae Pedeshee Ndama akiri kutakatisha fedha

Kha! Acha utani. Ingia youtube, angalia video za Fally Ipupa akiwa Tanzania miaka kadhaa iliyopita, uone jinsi mwanaharamu huyu alivyokuwa anagawa pesa kama makaratasi!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] ngoja nimcheki
 
No wonder kuna binti mmoja hakimu alikuwa hana akili alipokiwa primary mpaka secondary lakini alipokija kiwa hakimu alipata utajiri mpaka akaenda kuoa sharo moja hivi akalitafitia na kazi kwenye mifuko ya pensheni ana ukwasi wa hatari.

Vijana someeni uhakimi unalipa sana bongo
Kwa kula hizo pesa haramu?
 
Sijawahi kaa jela ila ni bora ukubali kosa ufungwe yaishe
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Unapofungua Bureau de Change umefanya udanganyifu gani?
Naona hujaelewa. Yaani anaefungua duka la kubadili fedha kwa kutumia pesa ya ujambazi ni kosa. Anafanya kitu halali kwa pesa haramu. Hope tuko sawa
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Unapofungua Bureau de Change umefanya udanganyifu gani?
Biashara yoyote imepaswa kufunguliwa/kuanzishwa kwa mtaji utokanao na mapato halali na sii vinginevyo.
Unaweza kukopa bank au kwa mtu, na mkopeshaji hela anayokukopesha iwe halali.

Usijikute kwenye nafasi ukiulizwa "mtaji wa hii biashara umeutoa wapi" unataja vyanzo ambavyo havina uhalisia wowote. Kama yule jamaa wa takukuru anayeshindwa ku justify ukwasi wake.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Baada ya hapo cv itakua imeharibika.Hakuna mtu atakaekuwa tayari kufanya biashara na convicted criminal,labda kama ni biashara zenu za unga na utapeli wa madini
Sio mara yake ya kwanza kwenda jela anatoka anaendelea. Huyu alishawahi kuwa na kesi ya mkono wa albino akatoka!
 
Kesi ya money laundering (kutakatisha pesa) ukitiwa hatiani ni kifungo jela miaka 4 au 7 sasa huyu kama kweli amekiri atakuwa ametumia technique koz angeweza kukaa rumande kwa mrefu zaidi ya miaka tajwa kama yanayomkuta wakili msomi Mwala kule Arusha yupo rumande mwaka wa saba mfululizo mpaka sasa kwa kosa hilohilo.
Sasa huyu wakili na ndama nani msomi?wakili hajui kifungo ni miaka mingapi kwa kosa la kutakakatisha fedha mpaka anaishi huko miaka saba?basi huyo sio msomi,msomi ni ndama mtoto ya ng'ombe!
 
Wapigaji ni wengi sana..ndio maana hapo awali comment yangu nilisema..hii industry..ina watu wengi sana...na ikichimbuliwa ipasavyo..watakao pona ni wachache sana...
Ni kweli ndugu, wapigaji ni wengi sana mjini. Ila wengi hao wako KIMYA. Wapigaji wenye kelele, mbwembwe, manjonjo na sifa za namna hio almost wote wameonja vizimba vya mahakama (Ndama, Msofe, Massawe nk).
Ukipiga deals zako kimya kimya wala hakuna atakae kusumbua
 
Biashara yoyote imepaswa kufunguliwa/kuanzishwa kwa mtaji utokanao na mapato halali na sii vinginevyo.
Unaweza kukopa bank au kwa mtu, na mkopeshaji hela anayokukopesha iwe halali.

Usijikute kwenye nafasi ukiulizwa "mtaji wa hii biashara umeutoa wapi" unataja vyanzo ambavyo havina uhalisia wowote. Kama yule jamaa wa takukuru anayeshindwa ku justify ukwasi wake.
Na namna pekee "HALALI" (verifiable) ya ku justify mapato yako ni uhusiano wako na TRA. Kama takwimu zako za TRA zinasoma negative na huku unamiliki mali za kufa mtu lazima ushikishwe adabu tu, hakuna namna.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Huyu kijana Robert mbetwa alikuwa na msala mwingine huu 2011 sijui uliishaje akaingia na huu wa 2017. Mja asili haachi asili.

MICHUZI BLOG: aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya kutapeli na kutakatisha fedha haramu afutiwa mastaka leo

Tanzania ukiwa na fedha mambo yanisha kimya kimya acha majaji wengine wastaafu kwa staili hizi.
Mkuu safari kaingia chaka baya anaweza kupotelea hukohuko chakani kwa mvua kadhaa akirudi uraiani anakutana na flyover kibao kama Joberg kwa Madiba.
 
Kama una hela hata bilioni moja utatoa kukaa jela miaka mitano si mchezo! Hela zinatafutwa ila kukaa jela hujui baada ya miaka mitano utatoka na hali gani.
Kweli kabisa,huyu jamaa hela ya faini hawezi kukosa.ndubwi mutoto ya chura,mzee wa mikocheni,akiuza tu ile brabus anapata hela ya faini na chenchi juu
 
Kutumia njia ya udanganyifu ili kuzihalalisha fedha zilizopatikana kwa njia haramu.

Kwa mfano:-
Unauza ngada, mapato yatokanayo na ngada unafungulia bureau de change. Sasa mapato yatokanayo na biashara ya bureau de change yatakuwa halali yenyewe pamoja na mtaji wake.

Wengine ongezeeni mifano.
Naongezea hapo hapo ,sasa urakatishaji wenyewe ni kuwa ukipata pesa kwenye ngada zako unajifanya hayo mapato ni ya bureau de change unalipa kodi zote na unapata jeuri ya kuziweka benk kwa amani tu!
 
Back
Top Bottom