Harufu zinazokera

Harufu zinazokera

Unakuta mwanamke anaenda lodge, haogi vizuri, haji na mafuta, anaogea tusabuni twa gesti, anaenda mapokezi kuomba mafuta, anajinyunyiza na pafyumu ya kupima ile ya elfu kumi. 😁

Anakuwa kama friji la chafu, ukilifungua nyumba nzima inanuka. 😁
Fuliji la kamongo waliochacha😂
 
IMG-20260506-WA0017.jpg
 
Kuna watu wanajanaba hata ikoge vipi halitoki kwa siku moja. Unajiuliza yule ni mtu au mfu kudadeki.
Janaba kwa Kiislamu sio harufu, hata ukijindondishea tone tu la shahawa au ukigusa tu Ute kutoka uke wa mwanamke hiyo tayari janaba.
 
Wahindi ndio najua kuna mda manukato yao yananuka kwa sababu wanatumia sandalwood , Inasemekana mda mwingine yanakaribisha chawa , ila kwa usafi waarabu wapo vizuri
Wahindi na wachina wachafu sana wanaoga mara moja kwa wiki na wengi wana mikono ya sweta mgodi wa uchafu
 
Back
Top Bottom