Harufu zinazokera

Harufu zinazokera

Wewe mapupu yana tofauti NTU na NTU wewe unadhani kinyesi Cha mlevi ni sawa na kinyesi Cha aliekunywa maji mengi mbona tuko zaidi ya sita LAKINI YEYE TU NDO shida.
Ofisi yako ipo karibu na choo, halafu unafosi watu wanye mapupu yanayonukia vizuri upo sawa sawa kweli wewe?
 
DODOKI lilikuwa sio poa mkuu!
Chicha la nazi freshi, lina mafuta yale hatari, hata kama mtu ana shimo la hewa, anatakata sio poa. 😁

Nimecheka sio poa! Nitarudi ngoja nifanye kazi za watu mkuu. 🤣
Tanga🙌🏿🙌🏿 fumbu inasuguliwa na chicha mpaka inaimba yenyewe. anameremetaa😂😂😂
 
Hahah nimefanya nao kazi nawajua vizuri sana! Ila tusibishane kila mtu aamini anachokiamini!
Tuje hata kwa jamii za hapa bongo walioishi na Waarabu mfano warangi , na jamii za Zanzibar ni wasafi mno , wadada wakirangi mda wote wa ng'aa na kunukia kama waridi, ndala inasuguliwa ing'aa , kajipara na uwanja , mtoto ananukia uturi kama maimuna
 
Tuje hata kwa jamii za hapa bongo walioishi na Waarabu mfano warangi , na jamii za Zanzibar ni wasafi mno , wadada wakirangi mda wote wa ng'aa na kunukia kama waridi, ndala inasuguliwa ing'aa , kajipara na uwanja , mtoto ananukia uturi kama maimuna
Hahaa basi sawa!
 
Back
Top Bottom