Harufu zinazokera

Harufu zinazokera

Mshana Jr vipi mbona Uzi umekaa kiukorofi
Sasa Mimi niandike nini jamani😩😩😩
IMG-20260507-WA0033.jpg
 
Janaba kwa Kiislamu sio harufu, hata ukijindondishea tone tu la shahawa au ukigusa tu Ute kutoka uke wa mwanamke hiyo tayari janaba.
Naelewa, mpk naitu faradhii ..... hapo tunaongelea kulala na huyo mtu sheikh.
 
Unakuta kipapa kinachemsha mpaka nzi wanakaa mbali🙌🏿😀
 
Unakuta mwanamke anaenda lodge, haogi vizuri, haji na mafuta, anaogea tusabuni twa gesti, anaenda mapokezi kuomba mafuta, anajinyunyiza na pafyumu ya kupima ile ya elfu kumi. 😁

Anakuwa kama friji la chafu, ukilifungua nyumba nzima inanuka. 😁
anaenda mapokezi kuomba mafuta 😀
 
Back
Top Bottom