Harufu zinazokera

Harufu zinazokera

Damu itamwagiia hapa si muda🤭
Lakini si uongo janaba ni ile hali ya maji maji mchanganyiko wa shahawa za me na ke
So utaratibu wa Muslim nikitwaharisha after mnyanduano ili uwe safi na hata ufanye ibada zako za faradhi na sunna

Na mfano mwingine kwa mwanamke peke ake ni kujitwahirisha ukimaliza hedhi ukiwa hedhi unakua sio tohara
 
Msaada unaweza kutuelewesha
Wengi wanaotoka mikoani, wakifika Dar (mikoa yenye joto) hawajui utamaduni wa watu wa hili jiji hasa mikoa yenye baridi (Arusha, Iringa, Mbeya) Ukifika Dar, unatakiwa kiwango cha usafi ulikotoka huko, huku unaongeza juhudi zaidi; nikimaanisha usafi wa mtu binafsi. Kuswaki, kuoga, kufua, usafi wa nywele etc.
 
Wengi wanaotoka mikoani, wakifika Dar (mikoa yenye joto) hawajui utamaduni wa watu wa hili jiji hasa mikoa yenye baridi (Arusha, Iringa, Mbeya) Ukifika Dar, unatakiwa kiwango cha usafi ulikotoka huko, huku unaongeza juhudi zaidi; nikimaanisha usafi wa mtu binafsi. Kuswaki, kuoga, kufua, usafi wa nywele etc.
Ahaaa kumbe sawa asante
 
Lakini si uongo janaba ni ile hali ya maji maji mchanganyiko wa shahawa za me na ke
So utaratibu wa Muslim nikitwaharisha after mnyanduano ili uwe safi na hata ufanye ibada zako za faradhi na sunna

Na mfano mwingine kwa mwanamke peke ake ni kujitwahirisha ukimaliza hedhi ukiwa hedhi unakua sio tohara
Kumbe!! Tohara tena🫢
 
Hapa jirani na office Kuna demu akiingia choo kinatema balaa MPAKA office yangu inanuka inabidi nifunge madirisha ya office Kila nikiisi anaenda haja SIJUI sio mnywaji WA maji.

Choo kipo jirani na office yamgu
Pole sana kama una muweza ongea nae kwa upole
Lakini atakua na tatizo aende hospital hiyo ni dalili mbaya
Na imagine na hivi vyoo vyetu vya ndani😢
 
Hapa jirani na office Kuna demu akiingia choo kinatema balaa MPAKA office yangu inanuka inabidi nifunge madirisha ya office Kila nikiisi anaenda haja SIJUI sio mnywaji WA maji.

Choo kipo jirani na office yamgu
Shida ni ofisi yako ipo jirani na choo , na shida sio huyo binti , ulitaka mapupu yanukie keki?
 
Alafu Kuna marashi flani wanawake WA kiiislam wanapenda kupaka akipaka hayo ata ukimtuma maji KWENYE glass yote ukianza kunywa ni harufu TU ya marashi MPAKA kero
Kama ni waarabu ni kwaajili ya hali zao! Wanatoaga harufu sana huwezi kukaa naye lisaa so marashi hayo yanawabeba!
 
Back
Top Bottom