Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 20,891
- 59,732
Watu wana ujasiri sanaš«¢Ni yale maji meupe
Watu wana ujasiri sanaš«¢Ni yale maji meupe
Kiarabu-KiislamuUdhu pia ni kuarabu mkuu.
Hakuna lugha ya kiislamu, uislamu unatumia lugha ya kiarabu.
Zinauzwa buku tu nyingii!View attachment 3585091
Ukimaliza kula yale mapande ya mbuzi na ng'ombe kabla ya ile romantic moment, please tembea na hivi vitu kwenye pochi, wallet yako. Ukienda supermarkets nyingi wanazo. Zinaitwa "dental floss"
Wahindi ndio najua kuna mda manukato yao yananuka kwa sababu wanatumia sandalwood , Inasemekana mda mwingine yanakaribisha chawa , ila kwa usafi waarabu wapo vizuriHahaa basi sawa!
PoleMtu akinipitia karibu kajipurizia marashi kupitiliza huwa yananipalia na kuanza kupiga chafya nyingi..
Sandalwood inanuka?Wahindi ndio najua kuna mda manukato yao yananuka kwa sababu wanatumia sandalwood , Inasemekana mda mwingine yanakaribisha chawa , ila kwa usafi waarabu wapo vizuri
Asante šš¾Pole
Kutumia marashi kupitiliza halafu unaingia nayo kwenye usafiri wa umma au shughuli ya watu wengi nao ni ujuha na ushamba.Mtu akinipitia karibu kajipulizia marashi kupitiliza huwa yananipalia na kuanza kupiga chafya nyingi..
Hiko kiambata nimekitumia ila baada ya mda naona kama harufu yake inanuka , sina uhakika ila sikipendeleiSandalwood inanuka?
Mbona nimetumia sana sabuni za sandalwood naona ziko poa!
Labda useme hupendelei tu sandalwood.Hiko kiambata nimekitumia ila baada ya mda naona kama harufu yake inanuka , sina uhakika ila sikipendelei
āLabda useme hupendelei tu sandalwood.
Kenge mavumbi wee, subiri siku nikushike nakupasua hilo bichwa ka papaiHivi ni kwanini huwa inakuwa hivyo?
Mtaalam wa maswala ya harufu mbaya Intelligent businessman please assist us.
Tuje hata kwa jamii za hapa bongo walioishi na Waarabu mfano warangi , na jamii za Zanzibar ni wasafi mno , wadada wakirangi mda wote wa ng'aa na kunukia kama waridi, ndala inasuguliwa ing'aa , kajipara na uwanja , mtoto ananukia uturi kama maimuna
Yeah wanawake wa kiislamu hasa wavaa majuba wanapenda kujifusha sana udi na marashi makali.Alafu Kuna marashi flani wanawake WA kiiislam wanapenda kupaka akipaka hayo ata ukimtuma maji KWENYE glass yote ukianza kunywa ni harufu TU ya marashi MPAKA kero
Bado Kuna wale wanaovaa raba zinavunda,Kuna wenye majasho nadhani hawaogi week nzima na hili joto la daršBila kuvumiliana hatutafikaš
Nakumbuka Nlikuwa napanda daladala nna allergy na marashi makali Yale ya kiarabu najikuta nimebanan na mdada kavaa baibui kajipulizia ya kutosha na hewa mzito mvua inannyesha vipo vimefungwa gari limejaa,halafu foleni kubwa haitembei saa nzima ,ni kizunguzungu najikaza nsidondokeš
Bado Kuna wale wanaovaa raba zinavunda,Kuna wenye majasho nadhani hawaogi week nzima na hili joto la dar
Mtaalam kama mtaalamKenge mavumbi wee, subiri siku nikushike nakupasua hilo bichwa ka papai