Harufu zinazokera

Harufu zinazokera

Tuje hata kwa jamii za hapa bongo walioishi na Waarabu mfano warangi , na jamii za Zanzibar ni wasafi mno , wadada wakirangi mda wote wa ng'aa na kunukia kama waridi, ndala inasuguliwa ing'aa , kajipara na uwanja , mtoto ananukia uturi kama maimuna
Hapo kwa warangi umepatia mkuu. Mama zangu wanajua kuoga wale hatari! Yaani anajisafisha mpaka anahakikisha hatoki na kasoro kichwani mpaka miguuni! Ulogwe uvae malapa yake, mweeeh ukirudisha yaoshe! Warangi kwa usafi wa mwili wapewe maua yao aiseee!
 
Hapo kwa warangi umepatia mkuu. Mama zangu wanajua kuoga wale hatari! Yaani anajisafisha mpaka anahakikisha hatoki na kasoro kichwani mpaka miguuni! Ulogwe uvae malapa yake, mweeeh ukirudisha yaoshe! Warangi kwa usafi wa mwili wapewe maua yao aiseee!
Ni wasafi mno wengi wao , kumbe una ndugu wa kirangi 😅 bora umekazia nilishaanza kupingwa😅
 
Anayebisha hajaishi nao. Ni wasafi sana kwakweli. Ukikutana na mdada wa kirangi mchafu ujue huyo hajakulia kwao au hajalelewa na mama mrangi aliyekulia urangini.
Nauli bei gani.. Wadada wasafi wana nafasi yao mbunguni.. Hawachoshi unaweza kutoweza tonge kwenye kibumunda chake
 
Hapo kwa warangi umepatia mkuu. Mama zangu wanajua kuoga wale hatari! Yaani anajisafisha mpaka anahakikisha hatoki na kasoro kichwani mpaka miguuni! Ulogwe uvae malapa yake, mweeeh ukirudisha yaoshe! Warangi kwa usafi wa mwili wapewe maua yao aiseee!
Haswaaa
 
Back
Top Bottom