OMG! Am outta here!!:A S-coffee:Mimi ndio maana sina wasi wasi ukiwepo wewe juu ya shemejio....lol... Hapa nina Imani kabisa, I hope ulimpa mahitaj yooote asubuhi na alipata breakfast ya maana.... anapenda saana kalmati, ulizianda ambavo hua naandaa?
Ni mimi hapa shem, kwa maana umeniita....Darling shem....
lol.... me pia namtakia babu yetu maisha marefu yenye heri na fanaka tele jaman.hata kama umeacha kunicheka bado nalia.... Nina ombi (only if you don't mind) ili ninyamaze kabisa naomba mtakie babu happy belated birthday.... Pleeeease....:A S embarassed:
Ukaguzi wake ulihitaji uangalizi wa kina...... :juggle:Nina malalamiko babu,
Mbona zamu ya mwali ilikuwa ya mda mrefu hadi usiku kucha???
Na watu wote semeni Amina.lol.... me pia namtakia babu yetu maisha marefu yenye heri na fanaka tele jaman.
dah sikuwepo bana big sisy najutaje, bt i hope mlienjoy eti???
me babu namletea zawadi yake io ipoo 2.
lol...... amina.Na watu wote semeni Amina.
Obsesd hun, hebu Come This Way........😛hoto:
Nashukuru kwa kuniamin,nami nitakuwa mwaminifu siku zote,Mimi ndio maana sina wasi wasi ukiwepo wewe juu ya shemejio....lol... Hapa nina Imani kabisa, I hope ulimpa mahitaj yooote asubuhi na alipata breakfast ya maana.... anapenda saana kalmati, ulizianda ambavo hua naandaa?
Orayt hebu moja kwa moja mpaka kwa kifua cha babu.... how do you feel?lol...... amina.
yap ipo io inakuja soon!!!!!!!!1 nishakuja mieee.
Ooh... Am humbled (source ADI)Aaah babu Asprin..happy bilated! Love youuu
loh.... kweli mjukuu kwa babu hakui aisee.Orayt hebu moja kwa moja mpaka kwa kifua cha babu.... how do you feel?
lol.... me pia namtakia babu yetu maisha marefu yenye heri na fanaka tele jaman.
dah sikuwepo bana big sisy najutaje, bt i hope mlienjoy eti???
me babu namletea zawadi yake io ipoo 2.
Basi na mie nataka wa ivo babu!!!Ukaguzi wake ulihitaji uangalizi wa kina...... :juggle:
Nashukuru kwa kuniamin,nami nitakuwa mwaminifu siku zote,
Kwa hilo la kumwandalia maankuli naomba nisijisifie,
Msubiri akija atakupa habari zangu,
Ndio utajua hukukosea kunirithisha mikoba ya mamabo ya kichen lol!
I think am too old kukumbuka, lakini waweza kumkabidhi tena. And why WARNING (in capital letters)Shem hivi nilimkabidhi Obsesd kwako? she is my kid sis, obedient and very very full of adabu. Handle her with care and that is a WARNING!
Mkono mtupu haulambwi, bado napokea zawadi na pledges..Aprin
Nili[pitiwa na nikasahau kupitia kwenye huu uzi kukutakia Happy Birthday ya siku ya kuzaliwa kwako
Ila hata kama ni kuchelewa bado naamini utazipokea tuu
Japo Cake ile ya mihogo uliyotengenezewa na AshaDii ishamalizika ila siwezi kukosa hata juice ya Azam
Ila kwa uweli Happy Birthday Babu
Mungu akujalie maisha marefu yenye furaha na amani
Upate kubarikiwa katika yale yote uyafanyayo
Uendelee kuwa na afya katika kila siku ambayo Mwenyezi Mungu anakujalia kuiona hapa duniani
Mwenyezi Mungu akupe kuishi kuwaona wana wa wana wa Wajukuu zako
Happy Birthday Babu