Happy Birthday Husninyo!

Happy Birthday Husninyo!

Hahahaaaa jionee mwenyewe kasema pati haliendi bila mimi! Jibebelee sasa sweetie!

(ila saa ile nilivotimuliwa mwenzio kweli nlikuwa sijaalikwa...lol)
Umenshushua!..khaaa..
 
Nashukuru wifi langu...ur kaka bado yupo safarini mpendwa...amebanwa kidogo, naiman kufikia jioni anaweza akajoin hii party....ila tutawahi kuondoka coz atakuwa amechoshwa na safari...


Naelewa dear... nimemuona kachoka kweli kweli... Pole na uchovu wa shughuli.... Namshukuru tu Mungu mambo yoote yameenda vizuri na namuona Sweetie yupo soo busy mpaka anashindwa kabisa gusa hapa.... Kikubwa ya muhimu yanafanyika.
 
Ok, happy birthday mamangu, nimekupigia simu ikapokelewa na mchina 🙂



Mkuu on behalf of Darling Kaizer tunashukuru saana kwa kupokea na kuitikia Mwaliko... special kabisa for our special Husny... Hope you enjoyed yourself....lol
 
Naelewa dear... nimemuona kachoka kweli kweli... Pole na uchovu wa shughuli.... Namshukuru tu Mungu mambo yoote yameenda vizuri na namuona Sweetie yupo soo busy mpaka anashindwa kabisa gusa hapa.... Kikubwa ya muhimu yanafanyika.
Yah... Tunajitahidi kuyafanya yote ya muhimu mpendwa...
 
Happy Bday mamii mungu aendelee kukulinda me luv you very much nitakuja hapo mida mida
be good

Ah, leo nipo sana... nini kinaendelea hapa? kuna mtu amehsa fanya mpango wa Chippendale au tunasubiri wanaume waondoke? lol

Heheeee aah sa mbona unaniangusha nawe! You can call me whatever you wish my dear Husninyo (sio jina baya lakini ntanuna)
mbona nimekuja nikaambiwa sijaalikwa eti? (party crasher)

happy bday Hus,nakuombea kila lililo jema


Nyie warembo hapo juu tokana na muongozo hapa unaonesha nyie mpo responsible kuhakikisha kila kitu kipo in order after sherehe kuisha... (Bht kumbuka kua kakako ODM ni mwizi wa glass za champagne - source: King'asti)... Usafiri wenu spesheli upo hapo nje.. kwa number hii nafikiri ile family car "Noah" itawafaa....lol

Husn' naomba Cake kipande....lol..

Wee ni bodyguard wa hawa warembo Chatu... Keep them safe... Ukikwama wakumuona ni The Finest, Kivumah, Rejao au RR...
 
Nyie warembo hapo juu tokana na muongozo hapa unaonesha nyie mpo responsible kuhakikisha kila kitu kipo in order after sherehe kuisha... (Bht kumbuka kua kakako ODM ni mwizi wa glass za champagne - source: King'asti)... Usafiri wenu spesheli upo hapo nje.. kwa number hii nafikiri ile family car "Noah" itawafaa....lol



Wee ni bodyguard wa hawa warembo Chatu... Keep them safe... Ukikwama wakumuona ni The Finest, Kivumah, Rejao au RR...
Yu wapi huyu mkemwenzangu leo?.. Toka amalize kuremba ukumbi amepotea kabisaaa!
 
Yu wapi huyu mkemwenzangu leo?.. Toka amalize kuremba ukumbi amepotea kabisaaa!


Katoa hudhuru... Ukumbini kakaa mda mfupi saana... Kadai kua anahisi hali yake sio nzuri... si unajua safari kashughulika saana... na ile mchuchumio ambayo anataka kuvaa hata kazini naona ina mcost...lol
 
Katoa hudhuru... Ukumbini kakaa mda mfupi saana... Kadai kua anahisi hali yake sio nzuri... si unajua safari kashughulika saana... na ile mchuchumio ambayo anataka kuvaa hata kazini naona ina mcost...lol
Lol...huyu mke mwe' naona anataka kuntia aibu sasa...mchuchumio hadi kazini?!?..kweli itamcost sana....
 
Nyie warembo hapo juu tokana na muongozo hapa unaonesha nyie mpo responsible kuhakikisha kila kitu kipo in order after sherehe kuisha... (Bht kumbuka kua kakako ODM ni mwizi wa glass za champagne - source: King'asti)... Usafiri wenu spesheli upo hapo nje.. kwa number hii nafikiri ile family car "Noah" itawafaa....lol



Wee ni bodyguard wa hawa warembo Chatu... Keep them safe... Ukikwama wakumuona ni The Finest, Kivumah, Rejao au RR...

Nawauliza warembo watapanda Noah! King'asti anakataa anasema Noah imekaa kama Nguruwe...lol...

Imebidi Rejao, alete Prado yake na The Finest, nae naona kaja na Cadillac Escalade....lol... Kwa ajili ya warembo!
 
Lol...huyu mke mwe' naona anataka kuntia aibu sasa...mchuchumio hadi kazini?!?..kweli itamcost sana....


Mie namshanga... She really is good with fashiion sijui inakuwaje... siku moja nimemuuliza kasema ni siku za presentations.. eti to make an impression...lol
 
Nawauliza warembo watapanda Noah! King'asti anakataa anasema Noah imekaa kama Nguruwe...lol...

Imebidi Rejao, alete Prado yake na The Finest, nae naona kaja na Cadillac Escalade....lol... Kwa ajili ya warembo!


MAKUBWA!!! lol..... Wifi yangu kwa kuchagua vizuri yule hajambo.... Mara aite magari ya wenzie vi "baby walker"....lol... Haya bana naona atakimbilia la The Finest.... mwambie tu asikae mbele hio seat imekua reserved kwa ajili ya AfroDenzi....lol
 
Jamani Husninyo, hepi bes deiiiii tu yuuuuuu mamito!! Mwenyezi Mungu akujaalie maisha mareeefu yenye upendo, amani na furaha! Dah.......siamini ka nimechelewa party!!!
 
Jamani Husninyo, hepi bes deiiiii tu yuuuuuu mamito!! Mwenyezi Mungu akujaalie maisha mareeefu yenye upendo, amani na furaha! Dah.......siamini ka nimechelewa party!!!

hujachelewa kipipi. jisogeze pande hizi. thank youuuu
 
Kwa nini, kwa nini, unashangaa ukiambiwa?
Kwa nini, kwa nini, unakataa kinacholiwa?

Anakuja tofauti, Mwajuma kuja kutembea
Anakakuja na makoti, mabegi na mazulia

Roho yake haimpi, hata kunisamilia miye.....
 
ahsanteni sana, endeleeni kumwimbia mtoto. husninyo will be back tomorrow morning. kama hujapata kinywaji, keki,whatever, aunt yangu anahusika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom