sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,967
- 8,498
Swahiba ngoja mi nisepe bana, si unajua mi pia bado mdogo, ndio kwaanza leo nna 5days sheria za jamuhuri haziruhusu watoto wenye umri chini ya miaka 18 kukesha kwenye kumbi za starehe. Afu pia naenda kumwandalia ur shemu Vin Diesel, yupo njiani kutoka USA.... Usijali kama kaja na chochote kitu takugaia kesho mpendwa... Uwahi kwenda kulala ili ukue upesi... Sawa honey? Mimi penda wewe thana. Stay safe!thank youuuu my heartbreaker derimto. karibu kwa party