Happy Birthday Husninyo!

Happy Birthday Husninyo!

thank youuuu my heartbreaker derimto. karibu kwa party
Swahiba ngoja mi nisepe bana, si unajua mi pia bado mdogo, ndio kwaanza leo nna 5days sheria za jamuhuri haziruhusu watoto wenye umri chini ya miaka 18 kukesha kwenye kumbi za starehe. Afu pia naenda kumwandalia ur shemu Vin Diesel, yupo njiani kutoka USA.... Usijali kama kaja na chochote kitu takugaia kesho mpendwa... Uwahi kwenda kulala ili ukue upesi... Sawa honey? Mimi penda wewe thana. Stay safe!
 
Ashadii kakaangu anaibaga hadi mirija na napkins.....! (nyumbani hadi vijiko vya kwenye ndege vipo...lol )

Usafiri mi nnao wangu....nimeegesha hapo jikoni (ungo) hivo mtu mwingine anaweza chukua hiyo fasi yangu!
 
ahsanteni sana, endeleeni kumwimbia mtoto. husninyo will be back tomorrow morning. kama hujapata kinywaji, keki,whatever, aunt yangu anahusika.

Wee Mwajuma ndo tabia gani hii? Yaani mi nimetoka kumpandia yule jiraniyo mashavu mashavu wa bugumu halafu we ndo waondoka? Haki ya ibilisi ntakudai keki yangu.
 
Jamani Husninyo, hepi bes deiiiii tu yuuuuuu mamito!! Mwenyezi Mungu akujaalie maisha mareeefu yenye upendo, amani na furaha! Dah.......siamini ka nimechelewa party!!!

Kwa nini, kwa nini, unashangaa ukiambiwa?
Kwa nini, kwa nini, unakataa kinacholiwa?

Anakuja tofauti, Mwajuma kuja kutembea
Anakakuja na makoti, mabegi na mazulia

Roho yake haimpi, hata kunisamilia miye.....

Msiwe na wasi wasi .... sie tukifanya sherehe hasa ya kuzaliwa kwa mtoto ni usiku kucha... yaani wageni wa saizi ni intake ya pili... bado ya tatu.. Kila kinywaji na vyakula of your choice vipo.... Mkiwa na maswali yoyote yale muelekeze kwa Sweetlady ndo anajua kila sector umfuate nani... Nimemkabidhi muongozo.
 
Duh huu mwezi Octoba ni mwendo wa kula bataa tu na Birthday party, ilianza yangu, ikafata ya sweetlady, na leo tena ya Husninyo.
Nahisi kitambi cha maji ya mende kitantoka mwenzenu.
 
Ashadii kakaangu anaibaga hadi mirija na napkins.....! (nyumbani hadi vijiko vya kwenye ndege vipo...lol )

Usafiri mi nnao wangu....nimeegesha hapo jikoni (ungo) hivo mtu mwingine anaweza chukua hiyo fasi yangu!



Yaaani wee Bht wewe.... THANK YOU For making my day!!! Khaaa! yaani sijui ODM atajitetea nini.... anawafundisha nini akina Matesha?? lol... sasa huo usafiri wako twaweza muombea mtu lift?? Sie wasi wasi wetu ilikua kwamba mmechoka hivo mpelekwe hadi majumbani....lol
 
Msiwe na wasi wasi .... sie tukifanya sherehe hasa ya kuzaliwa kwa mtoto ni usiku kucha... yaani wageni wa saizi ni intake ya pili... bado ya tatu.. Kila kinywaji na vyakula of your choice vipo.... Mkiwa na maswali yoyote yale muelekeze kwa Sweetlady ndo anajua kila sector umfuate nani... Nimemkabidhi muongozo.

Sweetlady nasikia kaenda Marekani kupitia runinga na google. Teh teh teh teh
 
Duh huu mwezi Octoba ni mwendo wa kula bataa tu na Birthday party, ilianza yangu, ikafata ya sweetlady, na leo tena ya Husninyo.
Nahisi kitambi cha maji ya mende kitantoka mwenzenu.


Umeona eeeeh?? Yaani sasa hivi tukila hizi buffet hizi zinatucost week nzima mtu unafanya diet walau ulafi tulofanya leo upungue... sasa sherehe zinapopangana hiv.... Dah! NAMTAFUTA Ritz popote pale alipo.... Umemuona??
 
Yaaani wee Bht wewe.... THANK YOU For making my day!!! Khaaa! yaani sijui ODM atajitetea nini.... anawafundisha nini akina Matesha?? lol... sasa huo usafiri wako twaweza muombea mtu lift?? Sie wasi wasi wetu ilikua kwamba mmechoka hivo mpelekwe hadi majumbani....lol
Ungo wenyewe unatoshea wawili tu, naenda na FL1 tunatua uani na ni convinient kwetu!

Huyo biggy ukimuona na kale kabegi cha mgongoni basi ujue ataondoka na chochote! (uzuri kina Matesha hawaelewi)
wacha nimuwahishe FL1 ana dozi ya mganga wa jadi!
 
Umeona eeeeh?? Yaani sasa hivi tukila hizi buffet hizi zinatucost week nzima mtu unafanya diet walau ulafi tulofanya leo upungue... sasa sherehe zinapopangana hiv.... Dah! NAMTAFUTA Ritz popote pale alipo.... Umemuona??
..Ritz yupo kaunta ya Juu anasikiliza hotuba za Mwl.


 
Ungo wenyewe unatoshea wawili tu, naenda na FL1 tunatua uani na ni convinient kwetu!

Huyo biggy ukimuona na kale kabegi cha mgongoni basi ujue ataondoka na chochote! (uzuri kina Matesha hawaelewi)
wacha nimuwahishe FL1 ana dozi ya mganga wa jadi!


hahahaha!!!! Dah!!!

Uzuri majukumu mshamaliza hivo you and FL1 are free to go na after all mmechoka saana... Namuona FL hata kuongea anaona taabu....lol
Biggy anadai kua anampango wa kumkabidhi vikoba The Finest... Hivo hapo umenikumbusha tumkague na The Finest pia...lol

Drive safely Ugo wako Bht and Please be safe and take good care of FL1 She needs it....
 
nilihisi kuna mahali naonewa,bt of all the pple sikutegemea from my one dearest brother! kati ya odm na mie nani ana koo kama sim tank la ikulu?
Hahaha Hommie

Hadi Uporoto atakapofufuka, inabisi wewe ndo uwe bestman pale, maana huyu mpwa wangu Husninyo asikae peke yake

Vimiminika vitakuja kwa wingi hightable, ila mchunge sana King'asti

Klorokwini kamwogopa FA kwa hiyo tumempanga stoo ya maji...lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom