Halima Mdee: Walichofanya wajumbe wa Baraza Kuu CHADEMA ni Uhuni! Mimi ni CHADEMA, nitaendelea kuwa CHADEMA

Wakienda mahakamani hawatalipwa tena na bunge, mpaka labda washinde kesi ndio watalipwa malimbikizo yao ya mishahara! ni sawa na kufukuzwa kazi, ukipinga mahakamani hulipwi mshahara mpaka ushinde kesi....
ZZK Mbona aliendelea kulipwa hadi mwisho.
 
Wewe Halima ulijisahau ukajiweka juu ya kila kitu ktk chama sasa mmetimuliwa unaona Baraza kuu ni wahuni.

Nani muhuni aliyetelekeza matakwa ya katiba au wewe uliyetekeleza matakwa ya CCM chini ya mchizi Ndugai na dikteta mwendazake?

Waliwaponza, nilifikiri una akili kumbe mjinga, nafuta na namba yako ya simu kwenye simu yangu shenzi kabisa
Mkuu ukomo wa Mwenyekiti ndani ya katiba ya Chadema uko vipi?
Hao wote wachumia tumbo!
 
Wakubali tu kuwa ukweli siku zote uta prevail tu hata ukifunikwa vipi.

Sheria ndio huamua haki na huhifadhi haki ni kwamba walichelewesha tu maamuzi ila kimsingi regardless Mbowe aliamua kuwakomoa but ndo katiba inavyotaka kuwa wasiendelee kuwa wabunge as long as sio wanachama. Huu ukweli its time waukubali.
Wakubali,waombe radhi,wafikiriwe kurudishiwa uanachama wakijenge chama towards 2025
 
Haipendezi wanawake wenzetu kukosa mkate.

Tamaa iliwatawala, laiti halima angebaki uraiani leo angeteuliwa.
 
Wasaliti niliowashuhudia duniani mubashara baada ya kusoma maandiko ya usaliti wa YuDA ISKARIOTI na vipigo wanavyopata mubashara hapahapa duniani:-
(1) Paulo Makonda- aliisaliti kambi ya kina Membe na Riziwani Kikwete baada kura za maoni CCM 2015,akauza mikakati ya Membe Kwa JIWE.
(2) Halima Mdeena geñge la wenzake mliwasaliti watanzania wakati mnajua alichotufanyia JIWE kwenye uchaguzi mkuu 2020.
(3) HAJI MANARA baada ya kuisaliti SIMBA hakuna mtu anamsikiliza Tena huyu
(4) HAMPHREY POLE POLE aliwasiliti watanzania kukataa katiba mpya enzi za JIWE Leo amewasaliti SUKUMA GANG Kwa kukubali uteuzi wa HANGAYA,
 
Dar es Salaam. Aliyekuwa mwanachama wa CHADEMA, Halima Mdee amesema hakukuwa na uhuru kwa wajumbe wa Baraza Kuu la chama hicho katika upigaji wa kura na kwamba, kilichofanyika ndani ya Baraza hilo ni uhuni. Na Mbowe anajua ni Uhuni. Nitaongea siku nyingine kwa Urefu leo sio siku mwafaka. Mimi Halima Mdee ni CHADEMA na nitaendelea kuwa chadema
Matokeo ya jumla

Idadi ya wajumbe 423

Waliokubalina na maamuzi ya Kamati ya kuwafukuza Uanachama ni 413 sawa 97.6%

Wasiokubaliana na uamuzi wa Kamati kuu ni 5 sawa na 1.2%

Wasiofungamana na upande wowote ni 5 sawa na 1.2%

Pia, soma;


====

UPDATES ;

=====
View attachment 2221245
Habari zaidi kutoka Gazetini;

Dar es Salaam. Aliyekuwa mwanachama wa Chadema, Halima Mdee amesema hakukuwa na uhuru kwa wajumbe wa Baraza Kuu la chama hicho katika upigaji wa kura na kwamba, kilichofanyika ni uhuni.

Mdee ambaye amepata kuwa mbunge wa Jimbo la Kawe na Katibu wa Baraza la Wanawake wa Chadema, Bawacha, ni miongoni mwa makada walifukuzwa baada ya Bazara Kuu kubariki uamuzi wa Kamati Kuu ya Chadema kuwafukuza ndani ya chama kwa kukubali kwenda kuapishwa na kuwa wabunge kinyume cha matakwa ya chama hicho.

Matokeo ya jumla

Idadi ya wajumbe 423

Waliokubalina na maamuzi ya Kamati ya kuwafukuza Uanachama ni 413 sawa 97.6%

Wasiokubaliana na uamuzi wa Kamati kuu ni 5 sawa na 1.2%

Wasiofungamana na upande wowote ni 5 sawa na 1.2%

Chanzo: Mwananchi
akasagane tu sasa na shogaake mana hakuna jinsi
 
Wewe Halima ulijisahau ukajiweka juu ya kila kitu ktk chama sasa mmetimuliwa unaona Baraza kuu ni wahuni.

Nani muhuni aliyetelekeza matakwa ya katiba au wewe uliyetekeleza matakwa ya CCM chini ya mchizi Ndugai na dikteta mwendazake?

Waliwaponza, nilifikiri una akili kumbe mjinga, nafuta na namba yako ya simu kwenye simu yangu shenzi kabisa
Mpuuzi kabisa wawafuate waliowadanganya akili kama za puc

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Wewe Halima ulijisahau ukajiweka juu ya kila kitu ktk chama sasa mmetimuliwa unaona Baraza kuu ni wahuni.

Nani muhuni aliyetelekeza matakwa ya katiba au wewe uliyetekeleza matakwa ya CCM chini ya mchizi Ndugai na dikteta mwendazake?

Waliwaponza, nilifikiri una akili kumbe mjinga, nafuta na namba yako ya simu kwenye simu yangu shenzi kabisa
Mkuu! Mshauri aje huku Umoja Party tusaidiane kukuza Chama, afanye kama ZZK, huko ameshatemwa anang'ang'ania kitu gani? Kabla hujafuta hiyo namba yake nitumie Mimi ili niendelee kumshawishi.

Ila nao walizidi sana kuwa na mbwembwe, yaani Watu mnakwenda kusikiliza Rufaa kwa mbwembwe vile! Wangeigiza tu hata unyenyekevu basi.
 
Dar es Salaam. Aliyekuwa mwanachama wa CHADEMA, Halima Mdee amesema hakukuwa na uhuru kwa wajumbe wa Baraza Kuu la chama hicho katika upigaji wa kura na kwamba, kilichofanyika ndani ya Baraza hilo ni uhuni. Na Mbowe anajua ni Uhuni. Nitaongea siku nyingine kwa Urefu leo sio siku mwafaka. Mimi Halima Mdee ni CHADEMA na nitaendelea kuwa chadema
Matokeo ya jumla

Idadi ya wajumbe 423

Waliokubalina na maamuzi ya Kamati ya kuwafukuza Uanachama ni 413 sawa 97.6%

Wasiokubaliana na uamuzi wa Kamati kuu ni 5 sawa na 1.2%

Wasiofungamana na upande wowote ni 5 sawa na 1.2%

Pia, soma;


====

UPDATES ;

=====
View attachment 2221245
Habari zaidi kutoka Gazetini;

Dar es Salaam. Aliyekuwa mwanachama wa Chadema, Halima Mdee amesema hakukuwa na uhuru kwa wajumbe wa Baraza Kuu la chama hicho katika upigaji wa kura na kwamba, kilichofanyika ni uhuni.

Mdee ambaye amepata kuwa mbunge wa Jimbo la Kawe na Katibu wa Baraza la Wanawake wa Chadema, Bawacha, ni miongoni mwa makada walifukuzwa baada ya Bazara Kuu kubariki uamuzi wa Kamati Kuu ya Chadema kuwafukuza ndani ya chama kwa kukubali kwenda kuapishwa na kuwa wabunge kinyume cha matakwa ya chama hicho.

Matokeo ya jumla

Idadi ya wajumbe 423

Waliokubalina na maamuzi ya Kamati ya kuwafukuza Uanachama ni 413 sawa 97.6%

Wasiokubaliana na uamuzi wa Kamati kuu ni 5 sawa na 1.2%

Wasiofungamana na upande wowote ni 5 sawa na 1.2%

Chanzo: Mwananchi
Hapo ni aidha aende mahakamani Ili awe mwanachama wa mahakama au aombe radhi kama kina Membe na Kinana warudishwe..

Ila hivyo vyama vyenu ni vya kijinga Sana,huu utopolo wa kufukuzana ni ujinga usio na maana..
 
Hata Dr Slaa anawajua kuwa CHADEMA ni wahuni! Haiwezekani Lowasa mliyemtukana sana, mkamkaribisha awe boss wenu! Ni wahuni,
Maneno ya Mdee!
 
Sasa tunasubiria majina ya hao 19 wa mbadala hapo Chadema wasije wakaleta kutafutiana ulaji
Kwa hiyo kikatiba lazima wateuliwe wengine ili kuleta uwakilishi huko bungeni? Aisee dunia hii, akinyang'anywa huyu anapewa yule. Pole kwao na hongera kwa wengine wanaokuja.
 
Ndiyo maana Mahakama zipo kwa ajili ya kupambana na wahuni.

Mbunge Halima Mdee ameendelea kusisitiza yeye na wenzake 18 bado ni wanachama halali wa Chadema.

Kilichotokea kwenye kikao cha Baraza Kuu ni Uhuni.

Wabunge hao wana Haki ya Kikatiba kupinga Uhuni Mahakamani.
ajabu mmeshindwa kabisa kutaja huo uhuni
 
Kina Halima watafanya delaying techniques, wataenda Mahakamani.

So bado wana nafasi za kula hela ya nchi kidogo.

Unless otherwise iwe ni makubaliano kati ya Mbowe na Samia kuwa watimue na bungeni tuwatimue mlete wengine.
Hao hata bungeni hawatocheleweshwa
 
Confirmed.

Chadema imejaa wahuni.

Wahuni party hoyee.
Kwahiyo Halima na wenzake 18 ( na wale wote mliowanunua enzi za biiashara ya utumwa iliyoasisiwa na slow slow na bashiru) nao ni wahuni waliozidiwa ujanja na wahuni wenzao?
 
Back
Top Bottom