ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,089
- 13,015
ZZK Mbona aliendelea kulipwa hadi mwisho.Wakienda mahakamani hawatalipwa tena na bunge, mpaka labda washinde kesi ndio watalipwa malimbikizo yao ya mishahara! ni sawa na kufukuzwa kazi, ukipinga mahakamani hulipwi mshahara mpaka ushinde kesi....