Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,819
- 40,600
alitaka kuwa rais? angetufia buree.Suala la kuumwa si la utani lakini ukweli Huyu mzee baba ni mgonjwa na anahitaji maombi yetu.Amekuwa Kama roboti
View attachment 1153464
alitaka kuwa rais? angetufia buree.Suala la kuumwa si la utani lakini ukweli Huyu mzee baba ni mgonjwa na anahitaji maombi yetu.Amekuwa Kama roboti
View attachment 1153464
Probably but the way he walks like a robot is so typical of parkinson's disease...could be? Ama African Missile???
Kwakweli MERCIFULYaani ni Duuuh! Duuuh! Duuh! Mungu amsimamie
Duh! Si wangemuacha apumzike nyumbani tu!
[emoji15]
Hayuko hoi bin taabanNimeshangaa sana mwenyewe anaserebuka kwa furaha zote wakati mwenzie yuko hoi bin taabani anatamani kukaa chini. Huyo mama kakosea sana kumkokota mwenzie akiwa katika hali hiyo.
Ndio mjue urais si kura tu! Chadema halielewi hili sijui walikula maharage ya wapiAmebadilika sana kwa kipindi kifupi tangu arudi kunako
Mkewe anaonekana yuko so joyful
Angetumia hata wheelchair basi dah!
Huwa anasumbuliwa na nini kwani?
Angekuwa Rais kweli Huyu kwa hali hii?
Mi pia sijaona sababu ya yeye kujumuika kwenye hilo tukio wakati afya haimruhusu
Cha ajabu the wife is so happy,mi singeweza, na singemruhusu mume wangu ataabike kisa shughuli, tungekaa zetu nyumbani tupumzike tu
65 yoHivi mzee wetu ana umri gani kwasasa?
Inawezekana ikawa haoni kabisa, amepofuka lini...!!?Suala la kuumwa si la utani lakini ukweli Huyu mzee baba ni mgonjwa na anahitaji maombi yetu.Amekuwa Kama roboti
View attachment 1153464
Nakumbuka alikuwa hatumii miwani, nimeshangaa sanaInawezekana ikawa haoni kabisa, amepofuka lini...!!?
Hakuna cha shida na raha hapo ni pesa tuu inazungumza, kwa hali hiyo si mateso tuu hayo? Sasa fikiria huyu jamaa na pesa yake afya mbovu hivo angekuwa maskini anayelimia tumbo si angekuwa ashakufa. Hapa ndo tujue tunaishi kwa neema ya Mungu tuu pesa sio kila kitu maishani.
Hapo ni kanisani, je asiende hata kanisani?Mi pia sijaona sababu ya yeye kujumuika kwenye hilo tukio wakati afya haimruhusu
Cha ajabu the wife is so happy,mi singeweza, na singemruhusu mume wangu ataabike kisa shughuli, tungekaa zetu nyumbani tupumzike tu
Kwani amekutuma utuombe tumuombeee...mbona yeye anauwezo wa kuongea vizuri na pia anaMke wake ambaye angetumika kuwasilisha ombi lake hilo kwa umma wa watanzania,sidhani Kama wewe Ni mtu sahihi Sana kutuomba tumuombee Tena baada ya kuwa UMESHAMPIMA KWENYE MAABARA YAKO na kugundua kwamba EL Ni mgonjwa Sana.Ila,sawa[emoji120][emoji15]Suala la kuumwa si la utani lakini ukweli Huyu mzee baba ni mgonjwa na anahitaji maombi yetu.Amekuwa Kama roboti
View attachment 1153464
That’s why I love you mtende [emoji3590][emoji8]
Wewe jinsi gani mkuu?Mambo ya kuchepuka ni ya ujana zaidi. Kuna umri ukifika huwazi hayo Mambo.
I love you too, mekumisi, sijakuona huku muda mrefu..au ulienda chattle?