Hali ya Lowassa ni mbaya sana. Tumwombee...

Hali ya Lowassa ni mbaya sana. Tumwombee...

Hii ndiyo maana halisi ya kiapo cha kwashida na raha mpaka Mungu atakapo tutenganisha.
Hakuna cha shida na raha hapo ni pesa tuu inazungumza, kwa hali hiyo si mateso tuu hayo? Sasa fikiria huyu jamaa na pesa yake afya mbovu hivo angekuwa maskini anayelimia tumbo si angekuwa ashakufa. Hapa ndo tujue tunaishi kwa neema ya Mungu tuu pesa sio kila kitu maishani.
 
Suala la kuumwa si la utani lakini ukweli Huyu mzee baba ni mgonjwa na anahitaji maombi yetu.Amekuwa Kama roboti
View attachment 1153464
















































Tunashukuru kwa taarifa ila neno lako la mwisho hapa limekaa Kidhihaka zaidi na siyo Kiubinadamu hivyo kama unajitambua vyema nakuomba ama ulirekebishe au hata ulifute tu kwani halijakaa vyema Kiuwasilishaji.
 
Huyu mzee asingehama vyama tangu mwanzo angebaki tu ccm au alivyohamia Chadema angetulia hapo heshima yake ilikuwa juu sana
Ila alivyojichanganya mara karudi tena ccm yaani imeshusha sana CV yake na wengi sasa wanamdharau pande zote Ccm na Chadema
 
Nimeshangaa sana mwenyewe anaserebuka kwa furaha zote wakati mwenzie yuko hoi bin taabani anatamani kukaa chini. Huyo mama kakosea sana kumkokota mwenzie akiwa katika hali hiyo.

unaweza kukuta bibiye alimtishia BAKORA ahudhurie harusini kama mtoto mdogo anavyolazimishwa kukoga.
bwana edward lowassa amechoka sana Mungu amrudishie uzima wake.
 
Hivi wakati huu Kuna wanawake wa Aina hiyo kweli au muda huu angekuwa anatumbua na mchepuko sauti ya Klyn.
Klyn mnamchafua tu.
Nayeye alimburuta mzee Machache kwenye msiba wa Kibonde hivyo hivyo.

Kakaa na marehemu hadi kifo. Mlitaka afanyeje?
 
Back
Top Bottom