Regina kafurahi sana na anajaribu kutuaminisha kwamba mzee yuko sawa, ni sawa ilikuwa ni lazima ahudhurie harusi ya mwanae labda ambacho wangefanya asingeingia kwa msafara, angeingia mapema akakaa zake tuNimeshangaa sana mwenyewe anaserebuka kwa furaha zote wakati mwenzie yuko hoi bin taabani anatamani kukaa chini. Huyo mama kakosea sana kumkokota mwenzie akiwa katika hali hiyo.
Kwa afya yake hakupaswa kuingia kwa msafara, busara ingetumika tu, angeingia mapema akakaa tu ndugu wengine ndio wangeingia kwa huo msafaraKutembea kunasaidia kuipa mifupa nguvu. Akianza kukaa kwenye wheel chair the deterioration will come rapidly.
Alikuwa anataka uraisi. Ulitaka asizunguke?Halafu bila huruma kuna majitu yalizunguka nae nchi nzima kwa uroho wa madaraka.
Nimeshangaa sana mwenyewe anaserebuka kwa furaha zote wakati mwenzie yuko hoi bin taabani anatamani kukaa chini. Huyo mama kakosea sana kumkokota mwenzie akiwa katika hali hiyo.
Yaani wamemuonea kabisaKwa afya yake hakupaswa kuingia kwa msafara, busara ingetumika tu, angeingia mapema akakaa tu ndugu wengine ndio wangeingia kwa huo msafara
Suala la kuumwa si la utani lakini ukweli Huyu mzee baba ni mgonjwa na anahitaji maombi yetu.Amekuwa Kama roboti
View attachment 1153464
Yaani ni Duuuh! Duuuh! Duuh! Mungu amsimamieDuuh!!!
Mkuu sio utani nimeandika kulingana na picha inavyozungumza.Tunashukuru kwa taarifa ila neno lako la mwisho hapa limekaa Kidhihaka zaidi na siyo Kiubinadamu hivyo kama unajitambua vyema nakuomba ama ulirekebishe au hata ulifute tu kwani halijakaa vyema Kiuwasilishaji.
...Asante kwa jibu la Kiungwana Mkuu. Ubarikiwe.Aisee kumbe bado kabisa, aisee huo ugonjwa umemzeesha sana duh
...na hivi anavyoonekana bado Wamo na bado Anadai, hakika hadithi ingekuwa nyingine...!Unafikiri babu angekuwa kachoka kapuku tu huyo Regina angekuwa na furaha kama unvyo muona?
Huenda angekuwa amesha wasusia ndugu wa babu wamlee yeye angekula kona.