Hali ya Lowassa ni mbaya sana. Tumwombee...

Hali ya Lowassa ni mbaya sana. Tumwombee...

Ila si uungwana kabisa kuona mtu anafurahia maradhi yampatayo mwingine!,hakika utu kati yetu umepotea kabisa!,Hakuna mtu ajuaye kesho yetu zaidi ya Muumba pekee,tumwachie yeye pekee!
 
Inamaana ulichoona kwenye harusi wewe ni afya ya Lowassa tu. Kwanza umeweka picha ya Bashite hapo au ni wewe nini? Second lady wa Taifa?
Povu la Nini?mwanaume mzima kazi ya kuchungulia Avatar za watu.Tumuombee mzee wetu achana na unafiki.
 
Naogopa kumsema Lowasa. Waliojaribu wako mbele ya sheria.
1. Yule mama Celina Kombani alimtabiria EL kifo. Karudi ndani ya suitcase toka India
2. Saa ya ukombozi ni sasa alisema EL ni marehemu. Alikufa bila jeraha
3. JK mtunzi wa sisiemu mbele kwa mbele. Mnakumbuka alikua anajiandaa kwenda majuu. Akapanda juu zaidi.
4. Mnamkumbuka mbunge mmoja alikua anakwenda kuchukua fomu kwao kwa kujiamini kabisa....Hakufika
EL habari ingine
mungu akijikuta namba 5 kwenye orodha yako naye yatamkuta yaliyowakuta kina komba? Au nimekosea kukuelewa??
 
Watu mnaifanya siasa kuwa mzigo usiobebeka.

Kwenye ugonjwa bado mnaconnect na siasa? Mungu amponye mzee wetu.
 
Na mimi pia niliwaza kama wewe nikajiulzia why wasingemwacha aingie mapema akae kwenye kitu tena... then mama na Fredy ndio waingie kwa huo msafara na kwaito sijui Mdumange?
 
hivi huyo fredy na mamake wana-jisikiaje kwa namna wanavyo mtangisha tangisha huyo mzee?
 
Ccm wamechukua mtu wao.sijui watasemaje tena
 
Duh! Si wangemuacha apumzike nyumbani tu!
😳


Hapana mkuu, ngoja wazungukezunguke naye ndo inamsaidia... Mkimwacha ndani anazidi kuwa na hali mbaya... Hapa kaonekana machoni kwa watu na maombi kwa Mungu juu ya afya yake yataongezeka...
 
Alianza Mtikila kusema haya maneno, akatangulia yeye mbele ya haki
 
Hiyo ingekuwa bora mara milioni kuliko kumkokota hivyo huku akiwa hoi bin taabani. I hope huo msafara haukuwa wa muda mrefu vinginevyo alimuongezea kuumwa.

Regina kafurahi sana na anajaribu kutuaminisha kwamba mzee yuko sawa, ni sawa ilikuwa ni lazima ahudhurie harusi ya mwanae labda ambacho wangefanya asingeingia kwa msafara, angeingia mapema akakaa zake tu
 
Back
Top Bottom