bwege nazi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 700
- 904
edo kashakuwa maji ya jioni.... anapelekwa ka robot kah! !
Aise kweli hatuna pesa ila tupo fiti.Ndipo unapojua fedha sio kila kitu katika maisha. Uzima kwanza.
Mi sina pesa kama zake mzimaaaa nagalauka kitandani.
Jk yuko mbele ya lowassa kwa miaka 3JK age mates....
Dogo asante kwa maneno ya busara.Sio jambo la kushabikia wala kucheka....cha msingi tumuombee tu Mungu amjalie afya..wala hatuna haja ya kuhukumu chochote..maisha yana mapito mengi na pia hujafa hujaumbika
Pombe sio chai kakolea njwiii!!! cheki anavyomburuza Mzee wa watu Kama mkokoteni vile kwa spidi ya mwendo kasi.Chezea pombe ,pombe kitu ingine.Nimeshangaa sana mwenyewe anaserebuka kwa furaha zote wakati mwenzie yuko hoi bin taabani anatamani kukaa chini. Huyo mama kakosea sana kumkokota mwenzie akiwa katika hali hiyo.
Acha kumpangia Mungu majukumu Mkuu.Eee Mungu mponye huyu mzee...
Amebadilika sana kwa kipindi kifupi tangu arudi kunako
Mkewe anaonekana yuko so joyful
Angetumia hata wheelchair basi dah!
Huwa anasumbuliwa na nini kwani?
Angekuwa Rais kweli Huyu kwa hali hii?
KabisaNadhani wheel chair ingefaa zaidi.
Kwa mama hapa namuunga mkono,royality start at home.Hii ndiyo maana halisi ya kiapo cha kwashida na raha mpaka Mungu atakapo tutenganisha.
Why Grace thou?Kwa mama hapa namuunga mkono,royality start at home.
Grace Mugabe big no.