Hakuna kitu kinaitwa “mume wa mtu”

Hakuna kitu kinaitwa “mume wa mtu”

Wakubwa huyu binti tumpe ulinzi wa kutosha, atasafiri bure mabasi yote SGR na ndege za ATC wakati wowote atakapohitaji, aende vacation mara tatu kwa mwaka popote pale anapotaka on top of that atapewa fursa ya kuchagua chenye anataka
😂 Unapenda ujinga tu
 
Nina ndoa ya 2, mwaka wa 12 huu sijawahi toka nje ya ndoa hata mara Moja!
 
ec57d078b9b811ed9f5e13a2d718ac6a.jpg
 
Jamani tambueni hakuna kitu kinaitwa mume wa mtu, ndioo najua unashangaa..

Ndio maana huwa hatuwatolei mahali hawa viumbe, tofauti na sisi tunakuja kuzolewa juu juu kwa mabadilishano ya kifedha (barter trade).

Huu mfumo ndio unefanya wanawake baadhi wananyanyasika sana kwakigezo Mume anasema "kwani ulikuja bure hapa?? si nilikulipia mahali"🥺

Sawa namaliza kwakusema tena hakuna mume wa mtu ila kuna mke wa mtu, so ukipata wa kuruka nae we ruka nae tu bt at your own risk😂
Kisses
Hauko sahihi, hakuna mke wala mume wa mtu....wote wanaliwa tu tena bila kachumbari kama ulikuwa hujuwi.
 
Back
Top Bottom