Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 6,339
- 8,230
😂😂😂😂😂Fala Mimi nimeirudisha kwako unasemaje😂 Nimejua ulipoiba haya maneno
😂😂😂😂😂Fala Mimi nimeirudisha kwako unasemaje😂 Nimejua ulipoiba haya maneno
Washa AC/fani joto jingi sana humo ndani na hakuna kujifunika maana joto kali hiloNilipo mimi 20°
akishasema ananunuaga wapi ,tuambie ili tuepuke kwenda huko mkuuHuyu aki pigwa vizuri, ata eleza bangi ana nunuaga wapi
Jamani tambueni hakuna kitu kinaitwa mume wa mtu, ndioo najua unashangaa..
Ndio maana huwa hatuwatolei mahali hawa viumbe, tofauti na sisi tunakuja kuzolewa juu juu kwa mabadilishano ya kifedha (barter trade).
Huu mfumo ndio unefanya wanawake baadhi wananyanyasika sana kwakigezo Mume anasema "kwani ulikuja bure hapa?? si nilikulipia mahali"🥺
Sawa namaliza kwakusema tena hakuna mume wa mtu ila kuna mke wa mtu, so ukipata wa kuruka nae we ruka nae tu bt at your own risk😂
Kisses
Mh! Ikiwa ni hivi ukija kuolewa utaweza kuyabeba majukumu ya ndoa kweli?Haha me bado kuolewa wala kuoa
Sawa mm nakuja kupitia dirishani inaknekana humo ndani hali mbaya ila naingia nikiwa nimevaa soksi kabisa kuokoa mudaNafungua dirisha, ventilation
Ni jambo la kumshukuru mheshimiwa rais daktari profesa SSHItakuwa janelle aliko mvua inanyesha,hajavuta bangi jamani
Tumshukuru mheshimiwa rais daktari profesa SSH 😛 😛 😛 😛Tz hii mwaka huu kila mtu kama vile amechanganyikiwa
Ama nikupe mavutu mengine tofauti 😂😂😄 Tuliaa
Pia, umshukuru mheshimiwa rais daktari profesa SSHSiku ukimwagiwa tindikali ndo utajua mume wa mtu yupo