Hakuna kitu kinaitwa “mume wa mtu”

Hakuna kitu kinaitwa “mume wa mtu”

Mume hayupo ila MChumba wa mtu yupoo aiseee utalogwaaa vibayaaa wanawake siku hizii ni balaa miaka 6 unataka kumuacha kizembee utakufaaaa vibayaa wew nakuhurumiaaa.
 
Kwaiyo upo tayar mwanaume wako awe shared na wanawake wengine Kwa kigezo hakuna mume wa mtu sio ?
Unaujua uchungu wa mume wewe? Nadhan unaongea bila experience
Jaribu kugusa mume wa mtu mwenyewe ajue yaan gusa halafu mwenye mume ajue alooh sikuhizi watu hawatak utan na watu wao utaanza kuokota makopo chap
Mwanamke unakuwaje na uchungu na mme? Yaan uchungu unaanzia wapi? Wewe ni mwanamke unabidi ubaki kama mwanamke tu
 
Tupe i mbususu nyie warembo sie atufungamani na upande wowote...
 
Ots tamu sanaaaa mie wife kajichanganga hapa kamleta msogo wake namlia timing tuu ni.kule alafu ampindue.
Shenz kabisa huyu mke nilimwambia mambo ya ndugu nyumbani sitaki yeye anajidai mjanja sasa ataona moto wa OTS
Sahihi ndiomana Kuna Operations inaitwa OTS! OPERATION TOMB... SHEMEJI.
Sahihi ndiomana Kuna Operations inaitwa OTS! OPERATION TOMB... SHEMEJI.
 
Ots tamu sanaaaa mie wife kajichanganga hapa kamleta msogo wake namlia timing tuu ni.kule alafu ampindue.
Shenz kabisa huyu mke nilimwambia mambo ya ndugu nyumbani sitaki yeye anajidai mjanja sasa ataona moto wa OTS

Utakuta shemeji naye anakulia timing...
 
Lugha ya picha eeeh!?

Na kila mtu yuko huru kutafsiri kivyake ama?

Wewe ni nani alikwambia kuwa ni lugha ya picha imetumika?

Maana halisi iliyokusudiwa ni ipi? Na tutajuaje kuwa hiyo ndiyo maana halisi iliyokusudiwa?
Tupo kahama ,tumeanza Leo😂
 
Mume hayupo ila MChumba wa mtu yupoo aiseee utalogwaaa vibayaaa wanawake siku hizii ni balaa miaka 6 unataka kumuacha kizembee utakufaaaa vibayaa wew nakuhurumiaaa.
😂
 
Ots tamu sanaaaa mie wife kajichanganga hapa kamleta msogo wake namlia timing tuu ni.kule alafu ampindue.
Shenz kabisa huyu mke nilimwambia mambo ya ndugu nyumbani sitaki yeye anajidai mjanja sasa ataona moto wa OTS
Kijana wa hovyo
 
Back
Top Bottom