Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 6,340
- 8,242
Wacha nije turuke pamoja kwaajiri ya kukuza kifaranga nilichokikamata😂kwa pamoja tukileee mpk kikue nachokianzishe kayak yake ya makindaJamani tambueni hakuna kitu kinaitwa mume wa mtu, ndioo najua unashangaa..
Ndio maana huwa hatuwatolei mahali hawa viumbe, tofauti na sisi tunakuja kuzolewa juu juu kwa mabadilishano ya kifedha (barter trade).
Huu mfumo ndio unefanya wanawake baadhi wananyanyasika sana kwakigezo Mume anasema "kwani ulikuja bure hapa?? si nilikulipia mahali"🥺
Sawa namaliza kwakusema tena hakuna mume wa mtu ila kuna mke wa mtu, so ukipata wa kuruka nae we ruka nae tu bt at your own risk😂
Kisses